Recent content by Sexer

  1. Sexer

    Nimechoka kudangangwa na kina dj Mark, Nataka niifaidi Soundbar yangu

    Wakuu msaada, nahitaji sana kujua kizungu cha kusikiliza hasa cha kwenye movie za wazungu. Najua kusoma na kuandika kiingereza. Mswahili mwenzangu pia akiongea kizungu naelewa kiaina, kimbembe kipo wakiongea wazungu na black america naambulia kidogo sana. Napenda sana movies za Hollywood...
  2. Sexer

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Nishaisikiliza inagonga ila bado haijafikia huo unyama wa vizio
  3. Sexer

    Flagship Soundbars

    hapana
  4. Sexer

    Flagship Soundbars

    Wakuu, hii Vizio M512a_h6 ni kisanga, inagonga balaa hadi nahisi father house atanifukuza nisije nikatia nyufa nyumba yake🔥🔥🙌🙌
  5. Sexer

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Wakuu, hii Vizio M512a_h6 ni kisanga, inagonga balaa hadi nahisi father house atanifukuza nisije nikatia nyufa nyumba yake🔥🔥🙌🙌
  6. Sexer

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    brand ipi inafaa zaid?
  7. Sexer

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Sound bar ipi ina bass nzito na mziki mzuri?
  8. Sexer

    Je, Kuna shida surname ya mtoto na baba zikitofautiana?

    mtoto wa Raila Odinga aliitwa Fidel Castrol
  9. Sexer

    Tengeneza kiinua mgongo chako Usije ukatoa laana kwa wanao

    inatosha mno, huku 176m iko palepale
  10. Sexer

    Tengeneza kiinua mgongo chako Usije ukatoa laana kwa wanao

    au nikawa nakula 1.7m kwa mwezi
Back
Top Bottom