Inawezekana ukiongea kitaalamu na vehicle inspector, hapo itabidi afanye manuva ya kutoa leseni nyingine kabla ya ile ya awali haijaexpire.
Ushauri kwa wote:
Kama ndugu yako au wewe una umri wa miaka 18 kurudi chini, soma sasa driving course ili angalau ukiwa na miaka 22 au 23 uwe na daraja E au...
Mkuu ni rahisi sana kupata unachokitaka ila kwa umri wako ni ngumu sana, sababu utasoma basic hivi sasa ili upate leseni daraja D, utakaa na hilo daraja D kwa miaka 5 ambapo ndani ya miaka hiyo mitano utahakikisha umesoma Truck au PSV na kupata cheti ili leseni ikiexpire urenew uongeze daraja E...
Wakuu msaada, nahitaji sana kujua kizungu cha kusikiliza hasa cha kwenye movie za wazungu. Najua kusoma na kuandika kiingereza.
Mswahili mwenzangu pia akiongea kizungu naelewa kiaina, kimbembe kipo wakiongea wazungu na black america naambulia kidogo sana.
Napenda sana movies za Hollywood...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.