Recent content by Sexer

  1. Sexer

    CAF Confederation Cup yafutwa. Msimu ujao kutakuwa na mashindano mawili tu

    Yaan bingwa nchi acheze shindano Dogo!! Hawa caf watakuwa wanavuta bangi
  2. Sexer

    FT: Dodoma Jiji 0-2 Young Africans SC | CRDB Federation Cup | Jamhuri, Dodoma | 10.04.2024

    Leo haya ni Mazoezi tu kwa ajili ya kuwaadhibu mbumbumbu tarehe 20
  3. Sexer

    FT: Mashujaa 1-1 Simba SC | | Simba waondolewa Shirikisho kwa matuta (6-5) | Tarehe 9/4/2024

    Kupigiwa nje ndani ndo ubora kwa mbumbumbu fc!😀😀
  4. Sexer

    Salter vs Westpoint food processor

    Watalaam, nataka kuvuta hiki kifaa cha kuitwa food processor kwa ajili ya kurahisisha mambo jikoni, hofu yangu mchina kachafua sana kwenye electronics na bidhaa zake fake, ila nimefanya kautafiti kadogo nikaona kati ya Salter na westpoint naweza kuchukua moja wapo lakini sijajua ipi inafaa...
  5. Sexer

    Mahakama ya mafisadi ni imeenda kusipojulikana

    Mahakama kuu division ya rushwa na uhujumu uchumi, mbona ipo na inafanya kazi kama kawaida
  6. Sexer

    1st leg robo fainali cafcl: simba pekee yake ndo timu iliyofungwa

    'Wate mbumbumbu' kwa sauti ya mwenyekiti Rage
  7. Sexer

    UTT vs Hati fungani za serikali, ipi Bora zaidi kuwekeza?

    Dah! Unaniogopesha mkuu, ebu dadavua kidogo
  8. Sexer

    UTT vs Hati fungani za serikali, ipi Bora zaidi kuwekeza?

    Wakuu, Nina kapesa kangu kama million 6 hivi kamekaa benki muda mrefu naona wanakakatakata tu huko benki, Sasa nataka nikatoe benki walau nikawekeze UTT AMIS au Kwenye hati fungani za serikali. Naombeni ushauri wapi ni Bora kati ya sehemu hizo mbili? kwa maana ya wanaotoa faidi kubwa zaidi ya...
  9. Sexer

    Urusi haina habari ya ISIS, yaipiga Ukraine kwa nguvu kulipiza kisasi

    Huwa sihifadhi video wala picha chafu. Putin akijifungua nadhani ataruhusiwa pia kuhudhuria mikutano ya UN
  10. Sexer

    Urusi haina habari ya ISIS, yaipiga Ukraine kwa nguvu kulipiza kisasi

    Putin hawezi hata kwenda kwenye mkutano wa BRICS ambao yeye ni mwanachama na unafanyika ndani ya nchi mwanachama kisa na mkasa kazuiwa na basha wake Zele atulie alee mimba
  11. Sexer

    Urusi haina habari ya ISIS, yaipiga Ukraine kwa nguvu kulipiza kisasi

    Putin saiz kakatazwa na basha wake Zele kuzurura hovyo ndo maana hata kwenye mkutano wa brics kwa Madiba hakwenda, kaambiwa akae ndani alee mimba
Back
Top Bottom