Watalaam, nataka kuvuta hiki kifaa cha kuitwa food processor kwa ajili ya kurahisisha mambo jikoni, hofu yangu mchina kachafua sana kwenye electronics na bidhaa zake fake, ila nimefanya kautafiti kadogo nikaona kati ya Salter na westpoint naweza kuchukua moja wapo lakini sijajua ipi inafaa...
Wakuu, Nina kapesa kangu kama million 6 hivi kamekaa benki muda mrefu naona wanakakatakata tu huko benki, Sasa nataka nikatoe benki walau nikawekeze UTT AMIS au Kwenye hati fungani za serikali.
Naombeni ushauri wapi ni Bora kati ya sehemu hizo mbili? kwa maana ya wanaotoa faidi kubwa zaidi ya...
Putin hawezi hata kwenda kwenye mkutano wa BRICS ambao yeye ni mwanachama na unafanyika ndani ya nchi mwanachama kisa na mkasa kazuiwa na basha wake Zele atulie alee mimba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.