Recent content by Sexer

  1. Sexer

    JamiiForums Tanzania Kama kusingekuwa na madhara kitu gani ungependa kufanya?

    Kupigia peku
  2. Sexer

    JamiiForums Tanzania Nipeni ushauri, nataka kufanya biashara ya daladala. Wazoefu naomba ushauri

    Dah! Umenimumbusha mbali sana Enzi za kutaabika, mie ilikuwa nikisikia simu inaita nashtuka kama kichaa 😂😂
  3. Sexer

    JamiiForums Tanzania Natafuta mume umri kuanzia miaka 34 hadi 45 ili tumalizie pamoja maisha yetu yaliyobaki hapa duniani

    Degree inasaidia nini kwenye familia?!
  4. Sexer

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Mwanamke mzuri wa kuoa

    Binti mrembo ambaye yuko tayari kutulia na mme aje inbox chap, umri wangu ni miaka 37, pia asome Uzi huu na azingatie Waepuke wanawake masikini
  5. Sexer

    JamiiForums Tanzania Natafuta mke maridadi

    Miaka 29 asiye na mtoto!
  6. Sexer

    JamiiForums Tanzania Madereva wa serikali naombeni ushauri hapa.

    Kuunganisha unaweza kipengele kwenye kuongeza hayo madaraja kwenye leseni iliyo hai
  7. Sexer

    JamiiForums Tanzania Madereva wa serikali naombeni ushauri hapa.

    Inawezekana ukiongea kitaalamu na vehicle inspector, hapo itabidi afanye manuva ya kutoa leseni nyingine kabla ya ile ya awali haijaexpire. Ushauri kwa wote: Kama ndugu yako au wewe una umri wa miaka 18 kurudi chini, soma sasa driving course ili angalau ukiwa na miaka 22 au 23 uwe na daraja E au...
  8. Sexer

    JamiiForums Tanzania Madereva wa serikali naombeni ushauri hapa.

    Mkuu ni rahisi sana kupata unachokitaka ila kwa umri wako ni ngumu sana, sababu utasoma basic hivi sasa ili upate leseni daraja D, utakaa na hilo daraja D kwa miaka 5 ambapo ndani ya miaka hiyo mitano utahakikisha umesoma Truck au PSV na kupata cheti ili leseni ikiexpire urenew uongeze daraja E...
  9. Sexer

    JamiiForums Tanzania Inakuwaje nchi moja inakuwa na mafanikio makubwa hivi?

    Jamaa wamedominate hadi soda (Pepsi na coca-cola) make tangu enzi na enzi brand za soda ni hizo mbili tu za kimarekani wakati Dunia Ina manchi kibaao
  10. Sexer

    JamiiForums Tanzania Nimechoka kudangangwa na kina dj Mark, Nataka niifaidi Soundbar yangu

    Wakuu msaada, nahitaji sana kujua kizungu cha kusikiliza hasa cha kwenye movie za wazungu. Najua kusoma na kuandika kiingereza. Mswahili mwenzangu pia akiongea kizungu naelewa kiaina, kimbembe kipo wakiongea wazungu na black america naambulia kidogo sana. Napenda sana movies za Hollywood...
  11. Sexer

    JamiiForums Tanzania Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Nishaisikiliza inagonga ila bado haijafikia huo unyama wa vizio
  12. Sexer

    JamiiForums Tanzania Flagship Soundbars

    hapana
  13. Sexer

    JamiiForums Tanzania Flagship Soundbars

    Wakuu, hii Vizio M512a_h6 ni kisanga, inagonga balaa hadi nahisi father house atanifukuza nisije nikatia nyufa nyumba yake🔥🔥🙌🙌
  14. Sexer

    JamiiForums Tanzania Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Wakuu, hii Vizio M512a_h6 ni kisanga, inagonga balaa hadi nahisi father house atanifukuza nisije nikatia nyufa nyumba yake🔥🔥🙌🙌
  15. Sexer

    JamiiForums Tanzania Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Vizio je?
Back
Top Bottom