Recent content by sesagi

  1. sesagi

    Siri ya baadhi ya Wakuu wa Mikoa na Wilaya imefichuka, kumbe baadhi yao..

    Yupo Baraka Konisaga wa nyamagana anafaa 100% na apewe tu hata mwanza aiongoze
  2. sesagi

    Jumamosi irejeshwe kuwa siku ya kazi ofisi za umma

    Mtoa mada ametoa maoni yake lakini sisi tunajadili dini mi naamini kila mtu anapita njia yake anayoona I pema machoni pake
  3. sesagi

    TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

    Sisi tunataka tujue kama Deo yuko salama nyie mnasema chopa zipo salama ,Hapo kuweni wazi
  4. sesagi

    TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

    Mwenye taarifa za uhakika atujuze ili watu wabaki na Amani
  5. sesagi

    Kiswahili chenye lafudhi yenye mvuto

    Kiswahili cha bukoba
  6. sesagi

    Welcome Mwenge Catholic University {MWECAU}

    Nawapongeza sana mliopangwa MWECAU make mtakuwa mnashare ideas na wanafunzi wenzenu wa vyuo vya MOCU, KCMC,SIMMUCO, SINGACHINI,MWEKA, MSINGA Hv ni baadhi ya vyuo tu vinavyoizunguka MWECAU
  7. sesagi

    Vipi hali ya Jimbo lako, upepo unavumaje?tupeane updates!

    Jimbo la Itilima Simiyu Kijana Njalu Daud Silanga (CCM) atakuwa wa kwanza kutangaza ushindi kwa mwaka huu anasubri kuapishwa tu wapinzani wanapinzana wenyewe
  8. sesagi

    Mambo 25 ya kufanya unapokuwa na mpenzi wako ili akupende zaidi!

    28 Usimwambie kuhusu kipato chako yaani asijue kabisa
  9. sesagi

    TFF imemfungia Nyoso kwa miaka miwili kucheza mpira wa miguu

    Daah pole zake ila anatakiwa akue vyote si kukua mwili tu na shirikisho la soka lingemshushia rungu kali
  10. sesagi

    TFF imemfungia Nyoso kwa miaka miwili kucheza mpira wa miguu

    Alifanya kitu gani Kwan huyo jamaa
  11. sesagi

    RPC Mbeya, Kamanda Msangi azuia maandamano ya kumpokea Lowassa

    Hivi kama lowasa angekuwa na msafara wa watu200 tu na magufuli abaki na idadi Ile ya watu hv kweli polisi wangekataza maandamano? Ama kweli akili ya kuambiwa changanya na yako
  12. sesagi

    Magufuli na mradi wa laptop kwa kila mwalimu,hivi tatizo ni ukosefu wa laptops?

    Walimu wasiwafanye kuwa mtaji kama serikal imeshindwa madawati tu vp hzo pcs na kama wana nia njema wapeleke hzo pesa kwenye maji,afya, na umeme
  13. sesagi

    CCM yatangaza kurudia majimbo 5 kura za maoni

    Busega mnajisumbua ukawa wanalichukua mapema sana
Back
Top Bottom