Recent content by SERENGE

  1. S

    Nitatambuaje iphone fake au originals?

    usijaribu kununua kwa watu wanaoziuza mikonon na mtaani...hii itakusaidia sana ..nenda kwa authorized dealer..pili kwa muonekano tuu ni ngumu kujua maana zinakaribiana kabisa ...but icon zake ..jinc inavoandika kama fb sms nk utaona tuu...pia kwa upande wa fake huweka icone ya YouTube lkn c...
  2. S

    Nani asimamie haya

    Ndg zangu naombeni mnisaidie hili....Nani asimamie haya au hakuna sheria?.Nimekua nikiona mara nyingi maneno yasiyo mazr yene mwonekano wa UCHOCHEZI, KUFURAHIA AU KUUNGA MKONO, vitu ambavyo si vizuri..Mfano unaweza kukuta magari , Saloon , vijiwe nk ..vimandikwa A-Shabaab..mara Boko haram, Osama...
  3. S

    Niliyojifunza kwenye safari ya fastjet kati ya Dar es Salaam na Johannesburg

    kweli wanapunguzo kubwa sana ...cjasafiria kwenda bonden lkn mimi ni mteja mzr wa mwanza na kilimanjaro..hiii ni challenge kwa company nyingine washindana cc tunapata nafuu..kwa maana hiyo ni wastani wa Usd 667 Round ticket...ambayo ni fear sana ..kwenda uganda tuu kwa Ug air ni 350 plus hadi...
  4. S

    Mwanamke mmoja apigwa risasi TRA jijini Arusha

    Arusha wana ubabe wa kipuuzi sana matambo majivuno ujuaji na kiburi ya pesa ..pesa zako zako kwanini zisumbue wengine..waje dar kama ukiwa na milion vyako ..hutajulikana hata kata ya pili..ASKARI HUYU NI WA KUZAWADIWA KABISA..kutoa bunduki tuu ni nia ya mapambano ..unaongeza na kukoki...
  5. S

    nini kinasababisha mwanaume kwenda round moja wakati wa kusex?

    Ipo kazi unaweza piga kimoja lkn cha nguvu waeza chukua kama nusu saa kwa mwanamke wa kawaida lazima nae atakua amekitupa na kuwa satisfied kabisaa.lkn sababu kubwa sana ni too much concentration..
  6. S

    Wanawake wananipenda kwa sababu sijatahiriwa

    Wee kitu ina sura mbaya hiyo mmh cjui kama hata wanamsuck maana huwa linatunza uchafu
  7. S

    Wanawake wananipenda kwa sababu sijatahiriwa

    Babaa hii nayo kali
  8. S

    Sharon hotel ubungo,dar - camera za nini vyumbani,milangoni & koridoni?

    Yaani bana kama ni kweli jamaa wanatakiwa kuwashtaki kabisa kama unaushaidi kaka mkubwa kwanini usiwapeleke kortini ? Au na wewe unaogopa shemeji atajua kila unachokifanya ...haifai na haipendezi ..huyo ni mualifu kabisa .c mara ya kwanza kuskia kuwa baadhi ya maoteli yana hizo vitu ..kua makin...
  9. S

    Baba yake dully akutwa akisokota bange..

    piga kijiti baba dogo kakusahau
  10. S

    Mitego ya Maselebriti wa kike hapa Tanzania

    bahati ako dada pombe noma
  11. S

    Huyu ndio mwanamuziki anaeongoza kwa kuvaa vizuri na kupendeza Tanzania

    c umri wangu ..kijana sana aende shule
  12. S

    CV ya Profesa Jay (Joseph Haule)

    Hiyo cio cv kumbe jamaa Form IV kavu haina VVT-I..
  13. S

    Natamani kuolewa na mzungu

    njoo mimi half cast ..au stafika viwango ...namba yangu ni le inaanza na zero na mwisho pia ni zero
  14. S

    "Hii sasa ni zaidi ya hatari"....Be careful

    baba mbichi nitamu balaa ...niwachache wene uvumilivu wa kuwait mpaka mpime ..na ukipa je hayo ni majibu sahihi y not condom tuu kama hutaki kula mbichi.
Back
Top Bottom