Recent content by Sera park

  1. Sera park

    JamiiForums Tanzania Mambo muhimu ya kuzingata wakati wa El Nino

    Naimani mbeya haitafika hiyo el nino
  2. Sera park

    JamiiForums Tanzania Volcano yaripuka huko Indonesia 🇮🇩

    Huko hata usingizi wa tabu sasa
  3. Sera park

    JamiiForums Tanzania Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini tafuteni zao mbadala la biashara,Mahindi Kwa Sasa yanalimwa Kila pembe ya Nchi.Hadi Singida bei ni 45,000

    Walime mahindi ya njano yana soko kwenye kuzalisha chakula Cha mifugo na pia kutengenezea lishe
  4. Sera park

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kupata watoto mapacha?

    Pacha Raha kama hutaki kubeba mimba mara nyingi, ila nilisikia mwanamke akila sana magimbi huleta pacha, sisi bibi alizaa pacha nne ila watoto wake hamna hata Mmoja mwenye pacha, ila wajukuu ni Mmoja TU ndo kabahatika Hadi sasa
  5. Sera park

    JamiiForums Tanzania Wanawake zenu wamenituma na wao wanataka hardcore sio kila siku slow motion

    Huyu niliyenae na kitambi anakera balaa hakuna show zile za zamani Tena, na kila Leo nakwambia punguza tumbo hata haelewi
  6. Sera park

    JamiiForums Tanzania Maeneo matatu yenye baridi zaidi Tanzania with facts

    Busokelo ya lwangwa au ya kandete?
  7. Sera park

    JamiiForums Tanzania Maeneo matatu yenye baridi zaidi Tanzania with facts

    Na baridi haiishi huu mwaka
  8. Sera park

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Hii movie ya kwanza nimeweka tupo na watoto kilichokuwemo humo ikabidi niitoe fasta
  9. Sera park

    JamiiForums Tanzania Natafuta mke

    Kashapata make nije Mimi tuchsnge watoto
  10. Sera park

    JamiiForums Tanzania Shemeji yenu Kanasa Ujauzito,sikuwa na mpango wa kuzaa naye

    Hapo labda kondomu hivyo vingine vinasaliti mpaka unajiuliza hii mimba iliingia kwa roho mtakatifu au wakati kakojolea nje, na p2 pia zimemezwa
  11. Sera park

    JamiiForums Tanzania Maeneo matatu yenye baridi zaidi Tanzania with facts

    Usiku huu mbeya inasoma sawa na njombe 11 huku makete 9 sijui Wana hali gani huko
  12. Sera park

    JamiiForums Tanzania Maeneo matatu yenye baridi zaidi Tanzania with facts

    Mbeya tushazoea kulala na soksi plus truck suit maisha yanaenda
  13. Sera park

    JamiiForums Tanzania Maeneo matatu yenye baridi zaidi Tanzania with facts

    Baridi inapuliza week hii mbeya mjini tunaota jua siku nzima halikolei, hapa nawaza waliopo insyonje, mporoto ntokela Wana hali gani. Maana Hadi vidoti vya baridi vinatoka mchana wote huu sijajua usiku hali itakuwaje leo
  14. Sera park

    JamiiForums Tanzania Nini siri ya uweupe mpaka wanaume wengi wanapenda wanawake weupe?

    Kuna sie wenye rangi hazieleweki tupo kundi gani, maana kwenye weuoe pee atupo, kwenye weusi pia atupo,
  15. Sera park

    JamiiForums Tanzania Wenye akili nyingi huwa wanaishi nje ya mji

    Ndo hakikisha ukiwafuga kila mtu awe na zamu ya kulisha, mi mifugo inanipenda maana sipendi kuwaona wakiteseka kisa njaa
Back
Top Bottom