Baridi inapuliza week hii mbeya mjini tunaota jua siku nzima halikolei, hapa nawaza waliopo insyonje, mporoto ntokela Wana hali gani. Maana Hadi vidoti vya baridi vinatoka mchana wote huu sijajua usiku hali itakuwaje leo
Mtunze namba mi Kuna Mmoja tuliachana kwa ugomvi mkubwa nilifuta namba zake, ikapita miaka kama minne hivi tukaonana akaomba namba Tena nikampa ila sikuwahi pokea akipiga, juzi kati nimekutana na rafiki yake ndo ananipa habari kwamba alifariki miaka mitatu iliyopita na Bora tuliachana maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.