Recent content by Sera park

  1. Sera park

    JamiiForums Tanzania Nimechoka kula vyakula vilevile kila siku

    Tuje kwenye ugali badili aina mbalimbali za ugali tengeneza Dona lako weka muhogo mkavu, mahindi ya njano, mtama, au tengeneza unga wa mahindi ya kuloweka
  2. Sera park

    JamiiForums Tanzania Nimechoka kula vyakula vilevile kila siku

    Wali upo wa aina nyingi, pika pilau la viungo vya kawaida au viungo vizima, pika wali mafua, pika wali wa mbogamboga, pika mandi ya wahindi hii ni ya vitunguu vingi mboga yake mayai ya kuchemsha, pika biriyani kazi kwisha
  3. Sera park

    JamiiForums Tanzania Nimechoka kula vyakula vilevile kila siku

    SI upo mbeya msimu wa viazi vitamu huu, pika kifuge maharage unachanganya na viazi afu pondaponda, pia Kuna kisyesye hiki twanga mahindi mabichi funga kwenye jani la mgomba afu chemsha ni kitamu haswa
  4. Sera park

    JamiiForums Tanzania Ni bora zaidi utumie mikono kuliko vijiko vya mgahawani

    Hela za kubadili vijiko zitatoka wapi labda vile vya takeaway ndo vitumike
  5. Sera park

    JamiiForums Tanzania Ni bora zaidi utumie mikono kuliko vijiko vya mgahawani

    Kazi mnayo mi siwezi nunua chakula hasa wali au ugali, nikiwa safarini Huwa natafuna karanga, biscuit na crips nashiba
  6. Sera park

    JamiiForums Tanzania Baada ya Kula nyama ya mbwa wakaanza Kuiga tabia za mbwa

    Mbwa wataisha sasa hiyo nchi
  7. Sera park

    JamiiForums Tanzania Kuna uwezekano mkubwa sana usije ukakutana tena uso kwa uso na watu uliosoma nao secondary

    Mi nilionana nae Mmoja akanishangaa TU nilivyonenepa akijua Nina hela kumbe hola, sijakaa sawa kaanza kuomba pesa, ila nimewamiss rafiki zangu wa sangu secondary school mbeya tuliomaliza nao form four darasa la science 2007
  8. Sera park

    JamiiForums Tanzania Picha: Kuku mwenye manyoya yaliyojigeuza nje ndani. Je, wanakazi Gani hasa huko ulimwenguni?

    Kuna jirani anao hapa ila sio watotoaji wazuri, mi nawapenda TU walivyokaa manyoya naona wanafaa kwa mapambo
  9. Sera park

    JamiiForums Tanzania Mnyama gani humpendi?

    Mi nilikuwa naogopa viwavi na funza, nimekuwa saizi siogopi sijui panya, chura Huwa nawatoa nje nikiwakuta uwanjani waendelee na safari Yao, tandu ndo nakutana nao kila Leo naua TU
  10. Sera park

    JamiiForums Tanzania Jitahidi sana katika Nyumba yako ama ufuge hawa Wanyama wote au basi hakikisha mmoja wao unamfuga utakuja Kunishukuru siku moja

    Hapo nimekosa mbwa TU ila kwa jirani Kuna mbwa wakizubaa TU kala kuku za kutosha, Bora nibaki na paka pamoja na kuku nishawazoea
  11. Sera park

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanaoanzisha pubs mpya wengi lazima watinge Singida kutafuta mabinti wa kuziendesha/kuhudumia?

    Bora sie wengine Huwa atujulikani ni kabila gani ukija kwa wanyakyusa tupo, wachaga tupo, wanyiramba TU yaani ni
  12. Sera park

    JamiiForums Tanzania Wachina wamejaa Tanzania, sasa hivi wameanza kuhamia Mbeya

    Na walivyo wabaya siwezi mi kuzaa na hao jamaa
  13. Sera park

    JamiiForums Tanzania Mnaopanga kuandamana tena nawaombeni mtumie akili, mnaenda kudili vipi na risasi zitazowapotezea maisha na ulemavu wa maisha?

    Kumbe Kuna maandamano tena basi mi nipo kijijini haswa
Back
Top Bottom