Recent content by Sera park

  1. Sera park

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Hii movie ya kwanza nimeweka tupo na watoto kilichokuwemo humo ikabidi niitoe fasta
  2. Sera park

    JamiiForums Tanzania Natafuta mke

    Kashapata make nije Mimi tuchsnge watoto
  3. Sera park

    JamiiForums Tanzania Shemeji yenu Kanasa Ujauzito,sikuwa na mpango wa kuzaa naye

    Hapo labda kondomu hivyo vingine vinasaliti mpaka unajiuliza hii mimba iliingia kwa roho mtakatifu au wakati kakojolea nje, na p2 pia zimemezwa
  4. Sera park

    JamiiForums Tanzania Maeneo matatu yenye baridi zaidi Tanzania with facts

    Usiku huu mbeya inasoma sawa na njombe 11 huku makete 9 sijui Wana hali gani huko
  5. Sera park

    JamiiForums Tanzania Maeneo matatu yenye baridi zaidi Tanzania with facts

    Mbeya tushazoea kulala na soksi plus truck suit maisha yanaenda
  6. Sera park

    JamiiForums Tanzania Maeneo matatu yenye baridi zaidi Tanzania with facts

    Baridi inapuliza week hii mbeya mjini tunaota jua siku nzima halikolei, hapa nawaza waliopo insyonje, mporoto ntokela Wana hali gani. Maana Hadi vidoti vya baridi vinatoka mchana wote huu sijajua usiku hali itakuwaje leo
  7. Sera park

    JamiiForums Tanzania Nini siri ya uweupe?

    Kuna sie wenye rangi hazieleweki tupo kundi gani, maana kwenye weuoe pee atupo, kwenye weusi pia atupo,
  8. Sera park

    JamiiForums Tanzania Wenye akili nyingi huwa wanaishi nje ya mji

    Ndo hakikisha ukiwafuga kila mtu awe na zamu ya kulisha, mi mifugo inanipenda maana sipendi kuwaona wakiteseka kisa njaa
  9. Sera park

    JamiiForums Tanzania Maini yanauzwa 2000 au 3000 kwa ndoo mitaani, je ni salama?

    Huku mbeya kipande 1500, nyama kilo 10000
  10. Sera park

    JamiiForums Tanzania Je, umewahi kula mnyama ama wadudu gani Hadi ukajisemea nilikuwa wapi siku zote hizo? Nimekula wanyama wengi sana.

    Uzi unatia kichefuchefu huu watu waroho wa nyama balaa Hadi pakapori mhh
  11. Sera park

    JamiiForums Tanzania Baada ya Ufugaji kuku kunishinda Nataka nigeukie Sungura

    Hao ni wa kuwabeba na kuwapapasa kama nyau ila sio kula
  12. Sera park

    JamiiForums Tanzania Kwanini Bado una namba ya EX wako?

    Mtunze namba mi Kuna Mmoja tuliachana kwa ugomvi mkubwa nilifuta namba zake, ikapita miaka kama minne hivi tukaonana akaomba namba Tena nikampa ila sikuwahi pokea akipiga, juzi kati nimekutana na rafiki yake ndo ananipa habari kwamba alifariki miaka mitatu iliyopita na Bora tuliachana maana...
  13. Sera park

    JamiiForums Tanzania Wanafiki wakubwa Tanzania ni wakaguru wanapatikana Kijiji cha Berega

    Shule zijengwe za kutosha huko, Karne hii Hadi kiswahili kiwe shida kuongea
  14. Sera park

    JamiiForums Tanzania Tukiacha roho mbaya Marangu Kilimanjaro ni kama ulaya

    Mje na tukuyu basi napo kuzuri hivyohivyo
Back
Top Bottom