Tuje kwenye ugali badili aina mbalimbali za ugali tengeneza Dona lako weka muhogo mkavu, mahindi ya njano, mtama, au tengeneza unga wa mahindi ya kuloweka
Wali upo wa aina nyingi, pika pilau la viungo vya kawaida au viungo vizima, pika wali mafua, pika wali wa mbogamboga, pika mandi ya wahindi hii ni ya vitunguu vingi mboga yake mayai ya kuchemsha, pika biriyani kazi kwisha
SI upo mbeya msimu wa viazi vitamu huu, pika kifuge maharage unachanganya na viazi afu pondaponda, pia Kuna kisyesye hiki twanga mahindi mabichi funga kwenye jani la mgomba afu chemsha ni kitamu haswa
Mi nilionana nae Mmoja akanishangaa TU nilivyonenepa akijua Nina hela kumbe hola, sijakaa sawa kaanza kuomba pesa, ila nimewamiss rafiki zangu wa sangu secondary school mbeya tuliomaliza nao form four darasa la science 2007
Mi nilikuwa naogopa viwavi na funza, nimekuwa saizi siogopi sijui panya, chura Huwa nawatoa nje nikiwakuta uwanjani waendelee na safari Yao, tandu ndo nakutana nao kila Leo naua TU
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.