Download: www.eType1.com/e3.php?EeDZVm
Dar es Salaam get ready... Mwalimu Christopher Mwakasenge atakuwa katika viwanja vya Biafra kuanzia tarehe 4 - 11 september. niwakati wakuwekwa mahuru... usikubali YESu akupita wakati huu.. Glory to God
Leo Arusha yamefanyika maandamano kutoka hospitali ya mount meru mpaka viwanja vya NMC ambapo ndipo ibada ya kuwaanga mashujaa wawili waliokufa katika maandamano ya amani wiki iliyopita.... LEO MAELFU KWA MAELFU YA WANANCHI WAMEANDAMANA WENYEWE BILA KUWEPO KWA ASKARI YEYOTE BARABARANI HATA...
Ndugu Wananchi wote - TUNAMBA MICHANGO YENU YA HALI NA MALI KWA WAHANGA WA MAAFA KATIKA MAANDAMANO YA AMANI ARUSHA. TUMA MACHANGO WAKO KWA
M-PESA: 0753444443
ZAP: 0688111161
TIGO PESA: 0659173663
AU FIKISHA MCHANGO WAKO OFISI YA MBUNGE ARUSHA MJINI
TUNAWAOMBA WANANCHI KUCHANGIA KIASI...
Zawadi you may need big help!! lakini kama ni vile viti kadhaa vya huyo JK wenu bado vipo lakini itabidi akakague hiyo kitu kwanza kama inalipa i think thats what u need ili ufanikiwe otherwise inabidi uende mirembe mwenyewe..... MTU GANI HUNA AKILI KABISAA
Habari za kuaminika muda mchache uliopita aliyekuwa Naibu Meya Arusha AMEJIUZULU. More News to follow na tunasubiri "tetesi" Meya mwenyewe atoe kauli ingawaje yeye ni mbuzi wa kafara labda itachuku siku nyingine tatu mpka tano kutoa tamko..
Then I think RPC, IGP to follow before president.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.