kilolambwani
JF-Expert Member
- Dec 3, 2010
- 395
- 75
Ama kweli Lema umemuweza wakili, ametaka uongee kama uko kwenye mkutano na wewe ukamwonyesha kuwa huwa mnaanza na "SALAMU"
Kilichokuchekesha nn sasa?
Well, napenda Lema/cdm washinde kesi hii pale Arusha,,lkn kwa hapa hakuna cha kuchekesha bana!
Hahahaha Lema kweli jembe,kanifanya nicheke kweli kamkamata pabaya kweli huyo wakili mpaka akakiri anagongewa misumari, hamna tena kesi hapo
Kwa kweli nimecheka!! hapo kwenye people's power jamaa alimaliza kazi kabisa, unaweza kuta hata Jaji alijisahau akaitikia japo kwa sauti ya chini!
Kilichokuchekesha nn sasa?
Well, napenda Lema/cdm washinde kesi hii pale Arusha,,lkn kwa hapa hakuna cha kuchekesha bana!