Recent content by Senorita23

  1. Senorita23

    Wataalamu wa radiology

    Asante sana mkuu ubarikiwe
  2. Senorita23

    Wataalamu wa radiology

    Naomba wataalamu wanisomee majibu eti ni nini hicho
  3. Senorita23

    Nimerejea

    Ahsante mkuu account zangu zote huwa natumia password moja tu na ni very strong kwa hiyo hata nikikaa miaka mingi sana password inakuwepo.
  4. Senorita23

    Nimerejea

    Wasalamu wapendwa wangu wa JamiiForums, Nimekosekana jukwaani kwa miaka kadhaa hii ni kutokana na mihangaiko ya maisha yaani maisha yalinipiga plus magonjwa kiasi cha kukosa smart phone. Kwa kipindi kirefu sikuweza kuingia JF ila namshukuru Mungu kuanzia sasa nitakuwa nachungulia chungulia...
  5. Senorita23

    Kujifungua kwa upasuaji linaenda kuwa janga la Taifa

    Siku nyingine usirudia kuhara kwenye reply yangu naongea nnachokifahamu,
  6. Senorita23

    Kama Mwanaume haupaswi kula chakula kingi nyumbani heshima yako itashuka

    Au na mzee wangu atakuwa hivyo make ana mwili mkubwa ila anakula chakula hakiendani na mwili wake yaani maswala ya kula hayazingatii na akiwa home hawezi kula peke yake kama sio mkewe basi sie vihelehere tunaenda kumlisha baba chakula
  7. Senorita23

    Kujifungua kwa upasuaji linaenda kuwa janga la Taifa

    Kwa kesi kama yako ni sawa kabisa,shida ni kwamba zingine zinafanywa kwa malengo binafsi ya kujipatia hela
  8. Senorita23

    Sijapenda: Naibu katibu mkuu wa Chadema mh Benson Kigaila kufanya kazi ya Utarishi!

    Mambo yao waachie wenyewe deal na chama chako
  9. Senorita23

    Angela Kairuki yupo wapi kwa sasa?

    Na yule Juliana shonza?
  10. Senorita23

    Tabia ya Wadada wa mitandaoni kuomba bando imekaaje?

    Wengine wako kwenye biashara stuka
  11. Senorita23

    Nafanya kazi lakini nahisi kama nimeshafukuzwa

    Anza kutafta kazi hiyo ni taa nyekundu,inawezekana kampuni imekuwa ya undugu na wewe sio miongoni,kikubwa endelea kufanya kazi huku ukitafta kazi
  12. Senorita23

    Bado dada wa kazi anahitajika

    Laki moja afu hawakai basi tatizo litakuwa kwenu maboss
Back
Top Bottom