Wasalamu wapendwa wangu wa JamiiForums,
Nimekosekana jukwaani kwa miaka kadhaa hii ni kutokana na mihangaiko ya maisha yaani maisha yalinipiga plus magonjwa kiasi cha kukosa smart phone.
Kwa kipindi kirefu sikuweza kuingia JF ila namshukuru Mungu kuanzia sasa nitakuwa nachungulia chungulia...
Au na mzee wangu atakuwa hivyo make ana mwili mkubwa ila anakula chakula hakiendani na mwili wake yaani maswala ya kula hayazingatii na akiwa home hawezi kula peke yake kama sio mkewe basi sie vihelehere tunaenda kumlisha baba chakula
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.