tatizo la wizi wa mtandaoni, unaweza kuhisi na kung'ang'ana na ATM mashine kumbe wizi uko electronically zaidi na sio kwamba kuna mtu kaenda kusimama kwenye machine, watu wa benk upade wa IT wanajua la kufanya na ndo wanaweza kutoa majibu sahihi
yaani haya ndo matatizo ya utandawazi, maana tunaletewa technology kabla ya kuandaliwa jinsi ya kuitumia, kutokana na hali hii ni bora kutochukua hizi master card maana jinsi unavyokuwa na uwezo wa ku access pesa yako zaidi ndo jinsi wizi unavyoongezeka maana unaweza kuibiwa pia kimtandao maana...
suala ni kusoma, wengi wanaenda chuo na ufaulu wa chini ila wanafanyaa vizuri sana ktk digrii zao, mi sioni kama kuna shida maana ufaulu/kutofaulu kiwango cha juu imetokana na mazingira ambayo wanafunzi walikuwa nayo huko sekondari na kwakuwa pale chuo wanakuwa na mazingira sawa "natural...
:A S cry:Nashukuru sana kwa uwepo wa mtandao huu wa jamii, hoja zangu ni:
Hadi sasa imekuwa ni suala la kawaida kwa wenye mitandao ya simu za mikononi kuanzisha bank kama aitel money, tigo pesa, m pesa, n.k mimi sijajua hadi sasa serikali kupitia benk kuu(BOT) na TRA wanachukuliaje suala hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.