Bazazi
JF-Expert Member
- Aug 18, 2008
- 2,806
- 3,476
21. Mwanamke atamkubali mwanaume yeyote,
Ila Binti mmoja ni mzuri kuliko mwingine.
22. Uzuri wa mwanamke huuburusha uso,
Wala mwanaume hatamani neno lolote kuliko huo;
23. Aidha akiwa nao ulimi wa unyenyekevu,
Mume wake si mfano wa wanadamu.
24. Apataye mke hujipatia mali iliyo bora,
Msaidia wa kufaa, na nguzo ya kumtegemeza.
25. Pasipo ukuta shamba la mizabibu litafanyika ukiwa;
Naye asiye na mke atapata kuwa mtoro asiye na kikao.
26. Ni nani atakaye waamini kundi la wanyanganyi warukao huko na huko.
27. Kadhalika mtu asiye na kioto,
Mwenye kulala ovyo wakati wa usiku popote alipo.
Tutaendelea kujuzana ambayo nitaona yanafaa kuwapasha ndani ya kitabu tajwa.
Ndimi Bazazi!
Tutaendelea kujuzana ambayo nitaona yanafaa kuwapasha ndani ya kitabu tajwa.
Ndimi Bazazi!