Wakuu,nimefikiria juu ya wanyama wanaofugwa kwa ajili ya nyama na maziwa. Sijawahi kusikia kuhusu kondoo wa maziwa. Lakini wapo mbuzi wa maziwa na ng'ombe wa maziwa. Maziwa ya kondoo yana shida gani? Naomba kujuzwa
Wakuu, naomba kufahamishwa ni kosa kuwapiga picha askari wakiwa kazini kwa mtu ambaye si mwandishi wa habari? Naomba kujuzwa kama ni kosa sheria inasemaje? Mfano wakati wanamkamata mwizi mtaani, wakituliza vurugu nk. Watu wengi hupenda kupiga picha wakati wa matukio ambazo mara nyingi hawana...
Inanikumbusha nikiwa kwenye pikipiki eneo la kutoka mombo hedaru kwene diversion ilikua imenyesha mvua maji yamejaa nikakutana na basi la harambee likanirushia maji yenye tope hadi helmet ikaziba sikuweza ona mbele. Sikuweza kulipiza kumaliza kujifuta gari ilishatokomea
katoliki nayo dini? Dini gani unatubu dhambi mbele ya binadamu mwenzio. Utabakia kumuabudu papa na mafundisho yake ya uongo. Soma bible acha kukariri vitu kiluturujia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.