Tena wanaume wa Tanzania ni wambeya sana na mnamagungu utadhani wanawake wa mitaani hivi mmeona Mseveni kamuweka mke wake kuwa waziri ingekuwa magufuri watu mngeongea hadi mngepata strok za midomo.
Na hakuna watu wanafiki kama watu wa mbeya wanajifanya wanapenda chadema lakin kumbe waongo majimbo waliochukua chadema hayafiki matatu wamechukua mbeya mjin na tunduma lakin kote wamechukua ccm ikiwemo kwetu mbarali Rungwe, kyela, mbeya vijijin na sehemu zote ni ccm tupu kwa hiyo bado mbeya ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.