Pamoja na picha hiyo bado tuna jeuri ya kihayawani kuwa "serikali ya kimapinduzi haiondoshwi kwa karatasi(kupiga kura), labda kwa mapinduzi." Mcc chali na bado zahama itafuata.
Nasiki serikalini kuna ndugu watatu wanawake wana top posts lakini huwezi kujua kama wanazaliwa na baba na mamoja. Hawa ni Asha Rose Migiro, Radhia Msuya na Mwantumu Malale, ilitokeaje?
Kapimwe akili unaonesha shetani kakutawala kupindukia. Hata mumeo asipojua hiyo ndoa haitadumu kwa sababu una pepo la umalaya. Kusanya vitu vyako ukaishi peke yako mitaani usijemwambukiza mumeo ugonjwa wa hatari
Wema apelekwe kwa mshauri nasaha, hakuna binadamu anayependa matusi, ametukanwa, amekejeliwa jamani, kama hatumii dawa za kulevya atakuwa kwenye wakati mgumu sana. Tatizo kubwa SANA alilonalo anapenda sana kuandikwa kwenye magazeti kwa wema au ubaya. Pia anaishi maisha fake yasiyo na uhalisia
Nyoka wa makengeza anayeona pesa tu sasa ni mwenyekiti wa Bunge. Maadili yako wapi? Rada, Escrow na mengine ambayo hayajasemwa. Tabia na matendo ya kiongozi huakisi tabia za jamii husika. Watanzania wote hawachukii ufisadi wanasema tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.