.........,,,. Madereva wengi hasa wenye magari ya gharama hawazingatii speed limit.
Sasa huyo wa boda boda aliyekufa?WANAWAHI KABURINI, WAACHENI.
Sasa huyo wa boda boda aliyekufa?
Mpaka gamboshiSumbawanga.?
Inamaana KATAVI imemuoa SUMBAWANGA?!!Kwa pinda n katavi,afu tafuta kwa mke wake n wap
Ila inauma sana, kwa kuwa ni dereva wa kigogo hawakumpiga tochi, wala kumsimamisha na kumpa onyo. Sisi walala hoi hata ukingia anga za 50kmp kwa mwendo wa 53kmp wanakutoza elfu 30 au rushwa ya elfu 10.Aisee hebu punguza gadhabu...ni Baba wa watu naye anafamilia inamtegemea kama kosa alishafanya na hakuna pa kurekebisha!msamehe bure
utang'ang'aniwaIla inauma sana, kwa kuwa ni dereva wa kigogo hawakumpiga tochi, wala kumsimamisha na kumpa onyo. Sisi walala hoi hata ukingia anga za 50kmp kwa mwendo wa 53kmp wanakutoza elfu 30 au rushwa ya elfu 10.