Recent content by selle

  1. S

    Uliza ujibiwe kuhusu madini, gesi na mafuta

    Kaka habari mkuu,hivi madini ya silver kwa wingi yanapatikana mkoa gani na kwa being gani
  2. S

    Wakuu naombeni mawazo yenu(ushauri)

    Wanaume wengi hatujui kuwa wanawake zetu kiukweli hawakosi michepuko...hata awe mwembamba mnene nani anabisha? Ukibisha chunguza utagundua ila angalia usife na presha bure
  3. S

    Wakuu naombeni mawazo yenu(ushauri)

    Wanaume wengi hatujui kuwa wanawake zetu kiukweli hawakosi michepuko...hata awe mwembamba mnene nani anabisha? Ukibisha chunguza utagundua ila angalia usife na presha bure
  4. S

    Kuna baadhi ya wanaume tuna roho za kishetani, leo mpaka nimetoa machozi kwa huyu dada

    Hata mimi nimeumia kwa hilo, ingawa unaweza kufikiri wanaume tu ndio wapo hivyo kwa ufupi hujasikia matatizo ya wanawake pia.Ila kwa historia ulio toa huyo dada ana akili ya kutafuta (mjasiliamali), wakati mwengine kwenye maisha hayo mambo hutokea....aanze tena upya na hiyo hiyo biashara yake ya...
  5. S

    Babe, I am afraid this was never meant to be...

    If she really mean it then should go for it before it is too late
  6. S

    Najuta kuacha kazi

    Pole sana dada binafsi nilishakutana na matatizo ya kukosa kazi na nssf najua jinsi yanavyotesa moyo hasa pale ukiwa na watu wanakutegemea.swala la kutembelea wazazi,kupita kwenu ama la naamini mkikaa wawili hamshindwi kulipatia ufumbuzi. swala la kukosa kipato na kazi dada hilo lako wewe...
  7. S

    Fukuza Marekani nchini

    Hiyo nchi ina wivu sana hawataki kuona watu wakipata amani, na maendeleo.wao wamekuwa viranja wa dunia
  8. S

    Ikulu: Washtakiwa 467 wa Uhujumu Uchumi wapeleka maombi kwa DPP wakitaka kukiri makosa yao na kurejesha takribani Tsh. Bilioni 107

    Na wale wengine walioiba vitu vidogo vidogo kama wakikubali kurudishwa waachiliwe pia serikali inatumia hela nyingi kuwaweka watu ambao ni nguvu kazi wakikubali warudishe mara moja waachiliwe wakachape kazi.....hapa kazi tu
  9. S

    Hivi kweli tumefika huku??

    yaani nilikuwa nasikiliza nyimbo ikabidi niusima
  10. S

    Kwanini Madiwani wa CCM hawana ujasiri kama huu ?

    hongera pascal kwa kuelimisha jamii
  11. S

    Wimbo gani wa mapenzi ukiusikia unahisi kama umeimbiwa wewe?

    can't turn back the years by joe mmh love watu wengine wanaichukulia poa
  12. S

    Wimbo gani wa mapenzi ukiusikia unahisi kama umeimbiwa wewe?

    umenikumbusha mbali kweli......
  13. S

    Je, ni busara kujenga nyumba kwa milioni 150 kisha kukusanya kodi laki 6 kwa mwezi?

    mimi naamini hujawahi ifanya kwa ufanisi ndio maana unasema ni kichaa
  14. S

    Kwanini baadhi ya wanaume hukataa kutoa talaka?

    Ila kuwa makini usije ukaonekana wewe unaachanisha wanandoa, na huyo huyo unaemtetea akasema wewe ndio ulie mshawishi.........Angalia ndugu yangu ndoa hizi mmh, utaonekana mbaya bure
  15. S

    Kwanini baadhi ya wanaume hukataa kutoa talaka?

    Ndio anaweza kwenda popote, na haijalishi anaweza enda bakwata au mahakama yoyote
Back
Top Bottom