Wapendwa haya ni maoni yangu: magufuli ni rais aliyechaguliwa kwa juhudi za wacha mungu. Nchi nzima kulikuwa na maombi ya kupata rais mwema. Mungu ametupatia Magufuli. Mungu huwa hajiaibishi mwenyewe. Bila maombi raising angekuwa Lowasa au member!
huwezi hata siku moja kutenga sanaa na siasa. kwani sanaa hasa music ni lazima uongelee ma,mo yanayoendelea katika jamii. lakni inahitaji msanii mwenye kujua kupambanua mambo vizuri sio kukurupuka. nahis kuna mchezo mchafu unafanywa na genge la madawa ya kulevya kumchafua rais. I believe...
Ni kazi nzuri. serikali ya tanzania inajua kujenga vitu vyenye viwango vya juu mno ila ukarabati wa mara kwa mara haufanyiki hivyo kufanya majengo yachakae haraka.
majungu hayo. acha wivu. Akili ya darasani haina maana yoyote watanzania hatujui kugeuza changamoto kuwa fursa! pia tunapenda kutafutiwa fursa hatupendi kuzihangaikia. Every cloud has got silver. LOL eti ulitaka kujinyonga. wewe ulipewa akili mwenzio amepewa uongozi na uthubutu.
kama mtu...
Nikiona hivi nacheka sana. najithibitishia yale yamesemwa katika kitabu cha novel, A WREATH FOR FATHER MAYER, Narudia tena vita vya kutokomeza madawa ya kulevya ni ya kiroho si ya damu na nyama. wanaojua fasihi nmeshanifahamu.
vita ya madawa ya kulevya sio ya kitoto mtu anaweza kubadilishwa kutoka man of the people kuwa an enemy of the people. rejeeni kule kitabu kimeandikwa na fr. moyo. kinaitwa a wreath for father mayer. vita haitaki mtu legelege.
Salama waheshimiwa? mimi naona mitandao hii inatofautiana nguvu kutokana na mkoa au wilaya uliopo. nikiwa iringa naangalia series online na mtandao haukatiki kabsaaaa (kwa kutumia halotel voda ni majanga kule!) ila ukija Dodoma vodacom ndio habari ya mjini na halotelhaiwezi hata kudownload...
Salama waheshimiwa? mimi naona mitandao hii inatofautiana nguvu kutokana na mkoa au wilaya uliopo. nikiwa iringa naangalia series online na mtandao haukatiki kabsaaaa (kwa kutumia halotel voda ni majanga kule!) ila ukija Dodoma vodacom ndio habari ya mjini na halotelhaiwezi hata kudownload...
mimi naamin kila ndoa ina changamoto zake.kuna kitu ambacho wadada wengi hawajui hasa wakristo. mwanaume yeyote ni polygamy by nature. anatamaa ya wanawake na hata asipoooa mwingine atatamani tu. fanya ufanyacho labda yule mwenye imani na Mungu atamuogopa mungu kuchepuka ila anatamani tuuuu...
uwii huku nyanda za juu kusini tunamsikiaga sana huyu jamaa, na ni kweli kabisa asilimia kubwa ya matajiri mbeya na njombe na makete wanatumia nguvu za giza. pale mwanjelwa soko liliungua wafanya biashara walikuwa wakiwaomba wachinga wakawatolee hirizi na mapaka yao walikuwa hawako bize kabsa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.