Mkuu we umeongea Kwa Sababu hujui mazingira ya kazi ya askari... Askari a naenda likizo bada ya miaka 3,askari Hana jumapili. Krismasi wala mwaka mpya,,tena msimu wa sikukuu ndo wanakuwa bize kuliko siku zingine... ungepewa walau ufanye hii kazi japo wiki moja tu.. Badala ya kutolewa posho...
Hizo rangi zibaki hivyo hivyo mana hata tukisema tuweke picha ya wanyama au tuweke ya samaki navyo pia vinapatikana hata nchi zngine... Labda ungetuambia kile ambacho tunacho sisi tu na haipatikan popote...
It means mshahara wake wote wa mwezi huu alipanga kununilia nguo tu lakini bado tu akaona haitoshi anataka umuongezee apendezeshe mwili wake huku mkiendelea kudai risiti kila mwezi kw baba mwenyewe nyumba.. Bora tu kuoa asie na kazi akuombe hadi ela ya under sket
Katika maelezo yako inaonesha hamjafunga ndoa wala hujatoa mahari it means mlikuwa wapenzi na si wanandoa.. Kama unataka kumuacha ni rahisi mno cause hamuendi hata mahakamani, but mwisho wa siku maamuzi yako Moyoni mwako kama ni mahaba Niue endelea kufa kimya kimya brother..
Yaani unakimbia nyumba yako na wanao kwa sababu ya mwanamke...! Mi mwanamke nikimfuma na chatting kama hizo namruhusu tu akaolewe na huyo jamaa, sina muda wa kujadili jambo kama hilo..
Kweli mengine yasikie kwa jirani tu.. Yakikutokea ndio utajua ni jinsi gani mtu anaumia pale anapompoteza mtu anaempenda na kumtegemea zaidi katka maisha yake.. Huyo mtoto kabaki yatima kama vile alikuja duniani kimiujiza.. Kweli dunia ni kama jangwa unaweza kubaki mwenyewe muda wowote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.