Bado najiuliza mwenyewe ile/hii nguvu kubwa ya kusajili line kwa alama za vidole ni ya nini? Kuna under 18 amesajiliwa line na alisema miala yake halisi? Baadhi walikataliwa, je kwanini people wanye umri usioruhusiwa kisheria kupiga kura wazuiwe? Nawaza tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sioni sababu ya kumlaumu Makonda kwasababu mara zote hunena na kupanga mambo kwa kadiri ya uwezo wake, hapo ndipo uwezo wake ulipogotea, hana anachoweza zaidi ya hapo tumsamehe, mtoto akiwa mlemavu hatupwi ni tatizo la jamii inayomzunguka na hasa familia yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pesa huwa unaweka kwenye simu? Hujui bank? Acha ushamba au wewe konde boy namaanisha mmakonde so bank yako ni ktk mitandao ya simu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kupiga sana puchu kuna punguza sana uwezo wa kufikiri ndio maana unakutana na mtu anaponyokwa tu hewa chafu bila kujitambua ila asante kwa kumgusa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jiji limekuwa na vibanda kama kibera, uzuri wa jiji umemezwa ma machinga jiji zima, barabara yote ya mwendo kasi ni mavibanda ya mbao yameezekwa kwa maturubai kama kambi za wakimbizi kisa kura chaguzi kwa maslahi ya kina bashite, aibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Balizi wa USA sio mkata viuno kange na kufunga ubalozi wa USA sio kufunga zipu, lumumba bana, mnakalia akili kama nyani anavyokalia mkia wake, makonda ndio nani wa kusababisha kufunga ubalozi wa nchi yoyote hapa Tanzania?
Kati ya makonda na USA nani amelisaidia taifa hili?
Sent using Jamii...
Hili katazo kwa Daudi linachukuliwa kama adhabu lakini halijanifurahisha kwakuwa ni sawa na muuaji kuambiwa afagie kituo cha polisi aondoke adhabu imeisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.