Mbunge wa mbinga kapten john komba amefariki muda mfupi uliopita kwa shambulio la moyo ( heart attack)
alipo pelekwa hospitali ya TMJ alikuwa tayari ameshafariki dunia. Mungu awafariji wote walioguswa na msiba huu.
Mtu anaye husika na uchotwaji wa hizopesa na anayejua siri zote ni mfanyakazi wa benki hiyo LILIAN KITOMARI cha ajabu Paul Mmara raia wa Uganda ametolewa kafara wakati lilian analindwa.
Iko siku ukweli utajulikana....." kila mtu abebe msalaba wake" mh mwigulu mchemba.
Naomba kujuzwa maana ya jina Tibaijuka kwa ndugu zangu wahaya. Nikijaribu kufanya direct translation naona kama ni "mtanikumbuka" ;kama ni kweli hiyo ndio maana yake, tutamkumbuka kwa lipi huyu mama msomi na profesa.
Tupitie utumishi wake wa ndani na nje ya nchi.
Nawasilisha.
Duuh mabilioni ya JK tulishayasahau aisee. ni kweli inabidi wanufaika tuwajue na utaratibu wake tuujue. kwa nini mabilioni ya Ruge yameleta shida, mabilioni ya kikwete yawe poa tu?
Bugando napo kwa sasa hapafai....huduma ni mbovu na hali haifai.....Hii hospitali ilisifika na ilikuwa ndio kimbilio la wanyonge. Kwa sasa hali ni tofauti hapafai kabisa.
poleni wanamwanza na kanda ya ziwa.
Indian man commits suicide on the streets of Kampala Uganda
An Indian national has committed suicide on Garilaya Plaza ,in Kampala city by jumping from the 8th floor to the ground.
Capesh Patel, 35, employee of Good Day Pharmacy had a misunderstanding with his boss. He had reportedly made...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.