Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Anahaha njaa huyo Mkatoliki Ntagazwa. Anadhani kampeni za makanisani zitaisaidia Chadema. Watu makini kama Mangula hawawezi kujiunga na chama kinachoongozwa na DJ.
Ila wanabaki na chama kinachoongoza na mcheza disco....lazima afuate muziki wa DJ