na akumbuke kwenda na wanawake wake wote...Kisonono hiyo,katibiwe mapema kabla haijawa sugu
Naomba msaada_ ghafla uume wangu unauma kwenye kichwa na unatoa usaha. Nimetembea na mwanamke siku 5 zilizopita je nimeambukizwa ugonjwa gani? Na nitumie dawa gani?
Ulitembea nae umbali gani......?.......wanawake wengine huwa wanapendeza wakitembea wakiwa wamevaa dakish.......sio vizuri utembee nae mpaka hotel halafu umlishe anjeera........ni vizuri mkazingatia viatu vya wazi..........
Ulitembea nae umbali gani......?.......wanawake wengine huwa wanapendeza wakitembea wakiwa wamevaa dakish.......sio vizuri utembee nae mpaka hotel halafu umlishe anjeera........ni vizuri mkazingatia viatu vya wazi..........
du niko siliaz ndugu
Mkuu........inawezekana kweli uone dalili kama hizo ukimbilie JF wakati ni swala la vipimo.....?......au kuna jukwaa la maabara ambalo mimi silioni........?
Ni kweli unachosema lakini hii hali imenikuta usiku ghafla ndio mana nikapost hum ili leo nijue pa kuanzia. Ila nashukuru nimeamkia hospitali nimeshatibiwa.