Majoja
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 612
- 188
Kuna kazi ambazo only seniority warrants merit.Du!! Kama ni kweli basi MNH wameumia!! Huyu mama hafai kabisa. Time will tell and you will remember this post!!
Sina uhakika na umri wa mama huyu lakini she is too young, much too young to head this institution yenye matatizo mengi.
Kazi kama za udaktari, uhandisi na zenye proffessional touch kuna mabomu yanayojitokeza kutokana na experience ambayo huyu mama hana.