Recent content by Secret genius

  1. S

    Nimeacha kuishabikia Arsenal

    Jamani muacheni arsenal sio ukoo huo kwamba asihame,mwacheni aje kwenye raha huku
  2. S

    Sports Arena ya Wasafi FM ni moja ya kipindi cha hovyo cha michezo Bongo

    Yan hao jamaa sijawahi kuwaelewaga hata kidogo,naskiaga kelele tu hasa huyo kitenge,sielewagi anaongeaga nn yan,wabadirike
  3. S

    Msanii Darassa...

    Jamani mwenye historia kidogo ya msanii darassa
  4. S

    Shule za vipaji (special school)

    Kuna hizi shule Tanzania wanasema ni za vipaji, Kisimiri, Kilakala, Ilboru, Kibaha, Mzumbe n.k. Je, kwa matokeo ya hivi karibuni bado zinastahili kuwa za vipaji(special school)?
  5. S

    Je, ni halali kwa wanachofanyiwa walimu hawa?

    Kuna shule moja iko Mbeya, wilaya ya Rungwe ( jina linahifadhiwa), ni private school. Kutokana na janga la corona shule zote ilitakiwa kufungwa, sasa mkuu wa shule hiyo aliamua kutowaruhusu walimu wake kutofunga shule na pia walimu wote wanatakiwa wawepo katika zamu zao kama ilivyopangwa. Je...
  6. S

    Kuotea (Offside) Kwenye Mpira wa Miguu

    Mbona itakuwa kisanga kwa mabeki,isitolewe kabisaa
  7. S

    Kryzstof piatek

    Kwa anayejua tafadhari
  8. S

    Kryzstof piatek

    Nini chanzo cha nyota huyu kuondoka AC MILAN na kutua HERTHA BERLIN CLUB?
  9. S

    DJ Mark namba moja

    Kwangu mtafsiri movie bora atbki kuwa DJ mark g machine, kutoka acheche production, vingunguti kidarajani
  10. S

    Sports Arena, Sports Headquarters na Sports Extra

    Sports extra ni zaidi ya michezo tanzania
Back
Top Bottom