Kuna hizi shule Tanzania wanasema ni za vipaji, Kisimiri, Kilakala, Ilboru, Kibaha, Mzumbe n.k.
Je, kwa matokeo ya hivi karibuni bado zinastahili kuwa za vipaji(special school)?
Kuna shule moja iko Mbeya, wilaya ya Rungwe ( jina linahifadhiwa), ni private school.
Kutokana na janga la corona shule zote ilitakiwa kufungwa, sasa mkuu wa shule hiyo aliamua kutowaruhusu walimu wake kutofunga shule na pia walimu wote wanatakiwa wawepo katika zamu zao kama ilivyopangwa. Je...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.