Secret genius
Member
- May 3, 2020
- 56
- 36
Kuna hizi shule Tanzania wanasema ni za vipaji, Kisimiri, Kilakala, Ilboru, Kibaha, Mzumbe n.k.
Je, kwa matokeo ya hivi karibuni bado zinastahili kuwa za vipaji(special school)?
Je, kwa matokeo ya hivi karibuni bado zinastahili kuwa za vipaji(special school)?