Recent content by Second hand

  1. S

    Tusipostuka tutaendelea kuwa ma-mbumbumbu

    daa kaazi kweli! of course bongo English ni changamoto.
  2. S

    Nakata tamaa ya kuishi! msaada tafadhari...

    Mungu awabariki sana jamani kwa michango yenu hakika ntaifanyia kazi. Na yeyote mwenye lolote tafadhari asisite kuchangia
  3. S

    Nakata tamaa ya kuishi! msaada tafadhari...

    Habari zenu wanajf! Nategemea msaada mkubwa sana kutoka kwenu; nikijua siwezi kupata msaada mwingine zaidi ya hapa. Mie ni mkazi wa iringa ingawa sasa nipo Dodoma kimasomo. Nina tatizo la koo: tatizo limedumu kama mwaka na nusu na mara kadhaa nimejaribu kupata matibabu lakini sijafanikiwa...
  4. S

    Vodacom sasa watapatapa kutafuta wateja

    Kumbe tatizo la sms kuchelewa ni janga la watu wengi, mie nilifikiri sehemu niliyoishi. of course hili tatizo lilikwamisha mambo mengi hasa mawasiliano kwa wanachuo wenzangu. Unatuma sms mkutane discussion saa 10, sms zinafika saa 12! haa haaa of course sha hamia kitambo mtandao wa mabingwa
  5. S

    Mbeya Mjini: Kiboko ya Sugu 2015 ni Mbuzax

    Of course kwa Mbeya: sugu yatosha
  6. S

    Kwa nini wanyakyusa wana sura ngumu hivi?

    Lazima una tatizo la umasikini wa kufikiri siyo bure!
  7. S

    Ukabila TFF: Jamal Malinzi jibu/fafanua hili kabla sumu haijaenea

    Mmh inawezekana hawa jamaa ni hulka maana hata ktk chuoni kwetu (wanakiita cha kata lakini sio kweli) hawa jamaa wako full!
  8. S

    January Makamba apewa makavu live na Lady Jay Dee

    well said jide! Anaandika andika tu almuradi
  9. S

    Msaada! Kudownload movie with subtitle

    khabari zenu waugwana! Nisaidieni natuma utorrent
  10. S

    Mbeya derby:Prison vs Mbeya City

    jamani vp! Nilikuwa naview hii thread km guest but imenilazimu niingie kabisa! Matokea vp? Nani kafungwa
  11. S

    Na mpango wa kununua laini ya simu mtandao mwingine lakini...nangoja hii kesi!

    Kutokana na kuongezeka kwa uhitaji wa mawasiliano mbadala; nimejikuta nikilazimika kuongeza laini ya mtandao mwingine ili niweze kukidhi haja ya mawasiliano LAKINI Hii kesi ya tozo ya simu imefika wapi? Maana kama tozo ipo bora niendelee kubaki MONO{1} Kuliko niwe DI{2} Then makato yaanze! Ewe...
  12. S

    Kama ndio hivi bora niache chuo nirudi nyumbani! nirudie mwaka

    Ndg hapo juu! Sijaongelea suala la kipato cha mwl but uwezekano wa kubadilisha career hapo baadaye
  13. S

    Kama ndio hivi bora niache chuo nirudi nyumbani! nirudie mwaka

    "if you are not doing thing that you love then your life is not worth. What are you here for? " : am going to look alternatives
  14. S

    Kama ndio hivi bora niache chuo nirudi nyumbani! nirudie mwaka

    dah! kama ndo hivo nachek uwezekano wa kuchange
Back
Top Bottom