Recent content by seansenior

  1. seansenior

    Officially nampitisha Harmonize kama msanii bora 2018

    Anafanya vizuri sana ila diamond hakuna wa kumcompare nae[emoji23][emoji23]
  2. seansenior

    Officially nampitisha Harmonize kama msanii bora 2018

    Kama unasubiri hilo utaliona mbinguni
  3. seansenior

    Idadi Ya Mechi Vodacom Premier League

    Ndugu wa JamiiForums naomba kujua msimu ujao zitachezwa mechj ngapi kwenye ligi kuu Tanzania bara?
  4. seansenior

    Jinsi Ya Kuwa Ujasiriamali

    Jamani nataka kuwa mjasiriamali? Na nataka nianzishe biashara yangu kwa mtaji mdogo sana,je una niashauri nini kwenye biashara hiyo ambayo nataka niifanya ingawa bado sijaifikilia biashara gani ili nijikwamue kimaisha
  5. seansenior

    Mourinho Hataki Kulea Vigonjwa

    Baada ya mechi ya Jana kupoteza dhidi ya Brighton Mo akawachana wachezaji wake live,alisema baadhi ya wachezaji hawaumii na matokeo kama yale pia aliwaambia waandishi kuwa kwa sasa watakuwa wamepata jibu kwanini kila siku LUKAKU anamuanzisha Amesema wachezaji wengine hawajitumi na ndio maana...
  6. seansenior

    Clouds lazima watambue kuwa hawana nguvu ya kufanya kila watakacho

    Clouds media wamekuwa miungu watu kwa mrefu kwenye Tasnia ya muziki na wanahisi wanaweza kufanya watakalo kwenye muziki Wamwkuwa watu wa fitina,wanyonyaji na wanafiki Nani asiyejua kuwa ruby alinyonywa kwa kupewa pesa ndogo kwenye shows zao mpaka akagoma na wakaamua kutopiga nyimbo zake...
  7. seansenior

    Tetes: Kuna bonge la Fursa huko Ujerumani Audi, Benz, VW Na BMW tatizo human rights wanazingua

    [emoji3][emoji3] Hao haki za binadamu nao sometimes wananyima watu lidhiki
  8. seansenior

    Mowzey Radio tunamlilia, lakini je tunayafahamu haya?

    R.I.p radio Lakini hii imekuwa kama tamaduni kwa mastaa wa afrika Wanajiona watu flani hivi
Back
Top Bottom