Recent content by Seaman

  1. S

    Updates na Picha: Mkutano wa ACT-Wazalendo Arusha leo 29/04/2015

    Hii ni a town kaka .. hawezi kuja mkuu anogopa ...
  2. S

    Chizi aliyetajwa na Slaa ndio huyu

    Huu umati c ndio ulisema raisi wao ni .........
  3. S

    Zitto Kabwe: Serikali inachekesha sana!

    Chama cha wanyonge huku alikuwa na Hamer. Mnafiki mwogope
  4. S

    Zitto alivyozomewa Mbeya Mjini

    Alipo kuwa na Ile Hamer alikuwa mzalendo
  5. S

    Joshua Nassari awadanganya wanameru kwa ambulance mbovu

    Naona mmarangu feki anaendeleza chuki kwa nasari Anachofanya Nassari ni Upendo wake kwa wananchi waliomchagua Wewe uliesomeshwa na kijiji/kanisa Ukapata kidogo tu ukahama na kijiji ungepata ubunge wa Dogo Si ungehama nchi!!? Hongera Nassari kwa uzalendo
  6. S

    Mgogoro ACT-Wazalendo: Mwenyekiti Taifa atishia kuachia ngazi

    Ivi zile CD Za ayatollah ziko Wapi zile zap uzalendo
  7. S

    Rais Kikwete ateua wabunge wapya wawili

    Au Nape nauye maana ni zawadi
  8. S

    Rais Kikwete ateua wabunge wapya wawili

    Kwanini hajamteua zitto jamani
  9. S

    Bunge: Zitto kulipwa mafao yake yote

    Na hii imefanywa hivi ili leticia na arfi Au shibuda wakinfuata Jamaa wawe na uhakika wa mafao
  10. S

    Katibu Mkuu Kinana, ndani ya Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha

    Hao wana Ccm wa mkoa mzima wilaya zote kata zote na vijiji vyote. Arusha ni ngome ya cdm hutaki Acha Hela ilitumika kuhamasisha hao watu Si kidogo Mimi mwenyewe gari yangu coaster ilikodishwa from kingori
  11. S

    Kinana afunika Arusha, akagua Ujenzi wa Barabara ya Sombetini- Njiro

    Hahahah nyomi picha hakuna ata Za 1995
  12. S

    Shibuda si riziki CHADEMA

    Last kick of dying horse!
  13. S

    Tafakuri Chokonozi: Mahakama imegeuka adui wa Zitto?

    Zitto will be next lyatonga ... Uenyekiti wa ACT is nothing
  14. S

    Nape: CHADEMA wajiandae kuingia msituni

    “CHADEMA wanaandaa vijana kupitia Red Brigade ili kuingia msituni na kuchukua madaraka ya nchi kwa mabavu. Wanafanya hivyo kwa sabababu wanajua hawawezi kuchaguliwa kwa njia ya kura wakati wa uchaguzi mkuu,” alisema Nape na kuongeza: “Hawa wanaopiga kelele huko mitaani eti Red Brigade...
  15. S

    Wingi wa wanachama mkoani Dodoma wamfurahisha Katibu Mkuu wa CCM, Kinana

    Dodoma Ndio mkoa masikini kupindikia
Back
Top Bottom