Naona mmarangu feki anaendeleza chuki kwa nasari
Anachofanya Nassari ni Upendo wake kwa wananchi waliomchagua
Wewe uliesomeshwa na kijiji/kanisa
Ukapata kidogo tu ukahama na kijiji ungepata ubunge wa Dogo Si ungehama nchi!!?
Hongera Nassari kwa uzalendo
Hao wana Ccm wa mkoa mzima wilaya zote kata zote na vijiji vyote.
Arusha ni ngome ya cdm hutaki Acha
Hela ilitumika kuhamasisha hao watu Si kidogo
Mimi mwenyewe gari yangu coaster ilikodishwa from kingori
CHADEMA wanaandaa vijana kupitia Red Brigade ili kuingia msituni na kuchukua madaraka ya nchi kwa mabavu. Wanafanya hivyo kwa sabababu wanajua hawawezi kuchaguliwa kwa njia ya kura wakati wa uchaguzi mkuu, alisema Nape na kuongeza: Hawa wanaopiga kelele huko mitaani eti Red Brigade...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.