Zitto Kabwe: Serikali inachekesha sana!

Zitto Kabwe: Serikali inachekesha sana!

Nafsi inamkubali...sema msimamo wa chama ndio tatizo.

Swala hapa ni nini kifanyike mda huu ? Jibu ni kuipunguza nguvu CCM , sasa unapoiprotect CCM kisha unakuja na maneno mengi ndio tunaita unafiki. Harakati zako ni kupunguza wabunge wa upinzani kwa interest binafsi hata ukitoa hoja kivipi wale wanasema ndioooooooooooo. It is no worth discussing such issues currently we have a golden opportunity in October to make changes.
 
Soma thread ya 2010 RE; Zitto Kugombea Ubunge 2010 hapo utajifunza zaidi ina page tano au sita hivi .
 
Zitto yuko right kabisa acheni siasa kwenye mambo muhimu kama haya. Kila mwananchi anaguswa na hili kwa sababu kila sehemu hapa nchini ina rasilimali. Si haki wananchi wa Mtwara wakose maji na barabara wakati rasilimali toka kwao zinawanunulia wakubwa majumba na magari ya kifahari. Hii itakuja kuleta machafuko nchini. The man is right, give him the credit!
 
Tundu lisu hana uwezo wa kuongelea mambo ya kitaalam kama hayo! Tundu Lisu ni mropokwaji tu. Kwa hiyo utasubiri sana.

Unajua kila mtu ana level yake ya kuelewa content. kama una akili ndogo huwezi kuwaelewa hawa wafuatao bila kujali itikadi za vyama, Kuna Lisu, Mdee, Msigwa, Mbatia, Kafulila, Esta Bulaya, Ole Sendeka na Jenista Mhagama.
 
Kama wamtaka kafulila kwani zitto yuko ukawa mbn unakuwa nazi ww hvi shule umeenda kufanya nn sera ya uchumi(distribution of resources) na sheria wapi kwa wapi.kama humtaki zitto ni ww wapo wanaomtaka ndio maana wananchi wa mtwaravleo wamemkubali.
 
Chama cha wanyonge huku alikuwa na Hamer. Mnafiki mwogope
 
Kama wamtaka kafulila kwani zitto yuko ukawa mbn unakuwa nazi ww hvi shule umeenda kufanya nn sera ya uchumi(distribution of resources) na sheria wapi kwa wapi.kama humtaki zitto ni ww wapo wanaomtaka ndio maana wananchi wa mtwaravleo wamemkubali.

Unapotunnga sera lazima uzijue sheria ambazo hiyo sera inaweza kukingamana nazo hapohapo lazima kufikiria sheria ya kuiwezesha sera kufanya kazi .hivyo sera kama ya habari ikibadilika na sheria inabadilika lakini sera isibadilike ikakiuka katiba ambayo ni sheria mama. Ndio maana humwelewi Tundu Lisu.Hutamwelewa kabisa.Mi nafuatilia hoja sio mtu wa kuambiwa zitto anaakili kuliko mtu yeyote hayo waambie watoto wa sekondari na huko fb
 
Unapotunnga sera lazima uzijue sheria ambazo hiyo sera inaweza kukingamana nazo hapohapo lazima kufikiria sheria ya kuiwezesha sera kufanya kazi .hivyo sera kama ya habari ikibadilika na sheria inabadilika lakini sera isibadilike ikakiuka katiba ambayo ni sheria mama. Ndio maana humwelewi Tundu Lisu.Hutamwelewa kabisa.Mi nafuatilia hoja sio mtu wa kuambiwa zitto anaakili kuliko mtu yeyote hayo waambie watoto wa sekondari na huko fb

Naona umeamua ubishi lkn ktk sector hyo zzk is another level sisi tunaskiliza hoja na kuelewa km andiko la ztto linavolijieleza sio makelele ya lissu wenu
 
Nafsi inamkubali...sema msimamo wa chama ndio tatizo.

Umenifurahisha sana hapa, watu wanaumia moyoni tu

BAdo wapo kwenye hizi stage, wakivuka hizo utawaona tu hapa.

"First they ignore you, then they ridicule you, then they fight you, and then you win."

Mahatma Gandhi



Wamevuka stage ya kwanza ya kum-ignore, ndio maana wanamfuatilia kila anapopita.

Saizi wapo kwenye stage ya pili,kumkashifu na kumzomea,

Kisha Zitto atafight back kwa kuendelea kusimama na hoja zenye nguvu,kushinda ubunge, kuendelea kuwa kinara wa hoja zenye maslahi ya taifa, kupambana sana na serikali bungeni.

Baada ya hapo hawa hawa, watasalimu amri na kukukubali kuwa alionewa, watampa ushindi.
 
Naona umeamua ubishi lkn ktk sector hyo zzk is another level sisi tunaskiliza hoja na kuelewa km andiko la ztto linavolijieleza sio makelele ya lissu wenu

huyo ndi mtaalam anayemsaidi spika mwanasheria wa serekali nae anamtegemea, Chenge anajua ila ndio nyoka wa makengeza lakini anamfuatia Lisu
 
Mimi nadhani ni vema Zito akaelewa kuwa uwezekano wa kurudia enzi zake za umaarufu wa kisiasa kamwe haziwezikurudi.asifikiri Mrema alipenda kuisha hivi ni kwamba jamii huangalia kwa makini mwenendo wa mwanasiasa tapeli.Nasikitika kukuambia nawe uko njia hiyo hiyo ya Mrema
 
Ushabiki mbele na jazba hebu mjudge mtu kwa andiko kwanza mbn mnakurupuka tu
 
Siasa za hoja.....Mtwara ni wasikilizaji wazuri wa hoja.....hawaendeshwi na mihemko....yumkini wakasukuma gari ya kiongozi kwa kusuuzika na hoja jadidi na shawishi....
 
Back
Top Bottom