Recent content by Sea Beast

  1. Sea Beast

    JamiiForums Tanzania WhatsApp Status yangu

    Karibu tuangalie komborela
  2. Sea Beast

    JamiiForums Tanzania Je, lengo lako la kuingia online muda huu lilikua ni lipi ?

    Wote tunateseka kutafuta maisha ila haimaanishi kila kitu tunachofanya kiwe kina hususha kuingiza pesa hasa mtandaoni kuna watu kazi zao ni za online ila haimaanishi kilamara wanaingia mtandaoni kwaajili ya ku-make pesa many time for fun wewe umeanisha sababu za kuingia mtandaoni ku-makd pesa...
  3. Sea Beast

    JamiiForums Tanzania Je, lengo lako la kuingia online muda huu lilikua ni lipi ?

    Kwakifupi wewe unateseka kujenga maisha tu sio kutumia wala kufaidi maisha.
  4. Sea Beast

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kijana unaona umepata mafanikio kidogo channel zimeanza kufunguka unakimbilia kuoa unajichimbia kaburi mwenyewe

    Una uhakika maisha yako yata Settle, na je kama yaja settle??
  5. Sea Beast

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kijana unaona umepata mafanikio kidogo channel zimeanza kufunguka unakimbilia kuoa unajichimbia kaburi mwenyewe

    Hyao mafanikio umeyapata na umri gani tuanzie hapo, maana watu hawaoi hadi umri unaenda kisa hana maisha then kapata maisha bado asioe hadi atembelee mahongo.
  6. Sea Beast

    JamiiForums Tanzania Nataka nikusanye kiasi cha million 25, nitumie mbinu gani?

    Then kwa hoja yako hii ni upi uwezekano wa kupata pesa nyingi ya pamoja kuanzia 20M maana ukikisanya ki laki 9 unasema iwekezwe hujui kuna tofauti za malengo.
  7. Sea Beast

    JamiiForums Tanzania Kuna mambo ukifatilia kwenye usafi ni kama kinyume chake

    Hatuogi hili kutoa uchafu mzee, huwezi kutoa uchafu kwenye mwili. Bali tunaoga hili tujisikie comfortable na fresh ukiamka huwezi kuvaa nguo na kutoka hutakuwa comfotable hivyo tunaoga. Mafuta hata kama uchafu kama tukipata yanaongeza kujisikia Comfotable ndio lengo limetimia. NB: Hygiene sio...
  8. Sea Beast

    JamiiForums Tanzania Biashara ya bandari na fursa zake

    Unakosea jinsi ya kuuliza swali, wewe unachotaka ni kuingiza pesa kupitia bandari unawezaje kuanzisha biashara ya kuingiza pesa kupitia bandari. Kuwa Clearing Agent Miliki gari za Emty Inatosha
  9. Sea Beast

    JamiiForums Tanzania Mwenzangu amepata kazi Tanzania

    Kipato cha mtu sio vipato vya watu. Uharisia ni huku mitaani asilimia kubwa hawapati hata hio 400K kwa mwezi ukiwaambia unalipwa 400K wanaona ushatoboa. Kuna mzee nafanyagnae kazi analipwa hio 400K anafamili na umri wa mzazi wangu 60's
  10. Sea Beast

    JamiiForums Tanzania Mwenzangu amepata kazi Tanzania

    Mkuu mimi sijasema hela nyingi nazungumzia uharisiaa wa maisha hiko ndio vipato vya watu huku mitaani so iwe ndogo au kubwa haibadiri ukweli. Sasa ukiandika kwa mshangao naona kama unatoma MARS sio Planet Earth.
  11. Sea Beast

    JamiiForums Tanzania Mwenzangu amepata kazi Tanzania

    Ila maisha ya JamiiForums ukiyasoma tofauti na maisha ya ukweli huku mitaani
  12. Sea Beast

    JamiiForums Tanzania Kuanza biashara ndogo ndogo ukiwa na majukumu ni ngumu mno kutoboa

    Hapa Duniani hakuna binadamu mwenye 100% Assuarance kuwa ipo siku uchumi wake utakuwa upo sawa na ni ndoto ya kilamtu aoe uchumi wake ukiwa sawa ila uharisia haupo hivyo kabisa unajikuta unanedea miaka 40 uko na nature ileile ya uchumi unakuwa huna budi kuoa tu na kupata mtoto. Mimi ni eary...
  13. Sea Beast

    JamiiForums Tanzania Bila maamuzi magumu kutoboa kupitia kuajiriwa nitakusikia tu kwenye bomba Ajira za afya michosho tu sifa mtaani tu ila hela hamna

    Mbona haya maisha uliyoyaandika kwa kuyadogosha eti 'Ka' ndio utajiri wenyewe ambao wengi tunasota kuupata.
  14. Sea Beast

    JamiiForums Tanzania Unalipwa 500,000 TZS? Jaribu kuishi hivi!

    Boom ni 250K mzee hio mambo ya stationary sijui Field ni mara moja kwa mwaka
  15. Sea Beast

    JamiiForums Tanzania Unalipwa 500,000 TZS? Jaribu kuishi hivi!

    Mzee unakumbuka ulienda kuchangia damu Muhimbii hili upate 25000 nilikuwa nakuangalia kwa nyuma unavyorudi nakuonea huruma 😂😂
Back
Top Bottom