Hatuogi hili kutoa uchafu mzee, huwezi kutoa uchafu kwenye mwili. Bali tunaoga hili tujisikie comfortable na fresh ukiamka huwezi kuvaa nguo na kutoka hutakuwa comfotable hivyo tunaoga.
Mafuta hata kama uchafu kama tukipata yanaongeza kujisikia Comfotable ndio lengo limetimia.
NB: Hygiene sio...
Unakosea jinsi ya kuuliza swali, wewe unachotaka ni kuingiza pesa kupitia bandari unawezaje kuanzisha biashara ya kuingiza pesa kupitia bandari.
Kuwa Clearing Agent
Miliki gari za Emty
Inatosha
Kipato cha mtu sio vipato vya watu. Uharisia ni huku mitaani asilimia kubwa hawapati hata hio 400K kwa mwezi ukiwaambia unalipwa 400K wanaona ushatoboa.
Kuna mzee nafanyagnae kazi analipwa hio 400K anafamili na umri wa mzazi wangu 60's
Mkuu mimi sijasema hela nyingi nazungumzia uharisiaa wa maisha hiko ndio vipato vya watu huku mitaani so iwe ndogo au kubwa haibadiri ukweli.
Sasa ukiandika kwa mshangao naona kama unatoma MARS sio Planet Earth.
Hapa Duniani hakuna binadamu mwenye 100% Assuarance kuwa ipo siku uchumi wake utakuwa upo sawa na ni ndoto ya kilamtu aoe uchumi wake ukiwa sawa ila uharisia haupo hivyo kabisa unajikuta unanedea miaka 40 uko na nature ileile ya uchumi unakuwa huna budi kuoa tu na kupata mtoto.
Mimi ni eary...
Iko hivi radha kama Malt nk nyingi zimewekwa kwenye pombe tu ila kwenye soft drink wafanya biashara wameweka kwenye Energy drink tu hivyo watu wengi wanaopenda kunywa Energy sio kwamba wanapenda ule u-energy wake bali ile taste yake yenye bites na chumvi ambayo kwenye MoPassion huipati...
The point ni kuwa...Mwanaume kazidiwa mwili na mwanamke ndio chanzo cha yote hayo hadi mtangazaji ndio maana nauliza hayo maswali.
Unakuwaje na mwanamke kakuzidi urefu na mwili kama hivyo
K
Kuishi geto pekeyako kuna uhudiano gani na kuoikapika, nimeisha geto na sijawai kuwa hata na jiko msilete Excuse kama mumeamua kupikapika kama wakike endeleeni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.