Recent content by Sea Beast

  1. Sea Beast

    Kuna mambo ukifatilia kwenye usafi ni kama kinyume chake

    Hatuogi hili kutoa uchafu mzee, huwezi kutoa uchafu kwenye mwili. Bali tunaoga hili tujisikie comfortable na fresh ukiamka huwezi kuvaa nguo na kutoka hutakuwa comfotable hivyo tunaoga. Mafuta hata kama uchafu kama tukipata yanaongeza kujisikia Comfotable ndio lengo limetimia. NB: Hygiene sio...
  2. Sea Beast

    Biashara ya bandari na fursa zake

    Unakosea jinsi ya kuuliza swali, wewe unachotaka ni kuingiza pesa kupitia bandari unawezaje kuanzisha biashara ya kuingiza pesa kupitia bandari. Kuwa Clearing Agent Miliki gari za Emty Inatosha
  3. Sea Beast

    Mwenzangu amepata kazi Tanzania

    Kipato cha mtu sio vipato vya watu. Uharisia ni huku mitaani asilimia kubwa hawapati hata hio 400K kwa mwezi ukiwaambia unalipwa 400K wanaona ushatoboa. Kuna mzee nafanyagnae kazi analipwa hio 400K anafamili na umri wa mzazi wangu 60's
  4. Sea Beast

    Mwenzangu amepata kazi Tanzania

    Mkuu mimi sijasema hela nyingi nazungumzia uharisiaa wa maisha hiko ndio vipato vya watu huku mitaani so iwe ndogo au kubwa haibadiri ukweli. Sasa ukiandika kwa mshangao naona kama unatoma MARS sio Planet Earth.
  5. Sea Beast

    Mwenzangu amepata kazi Tanzania

    Ila maisha ya JamiiForums ukiyasoma tofauti na maisha ya ukweli huku mitaani
  6. Sea Beast

    Kuanza biashara ndogo ndogo ukiwa na majukumu ni ngumu mno kutoboa

    Hapa Duniani hakuna binadamu mwenye 100% Assuarance kuwa ipo siku uchumi wake utakuwa upo sawa na ni ndoto ya kilamtu aoe uchumi wake ukiwa sawa ila uharisia haupo hivyo kabisa unajikuta unanedea miaka 40 uko na nature ileile ya uchumi unakuwa huna budi kuoa tu na kupata mtoto. Mimi ni eary...
  7. Sea Beast

    Bila maamuzi magumu kutoboa kupitia kuajiriwa nitakusikia tu kwenye bomba Ajira za afya michosho tu sifa mtaani tu ila hela hamna

    Mbona haya maisha uliyoyaandika kwa kuyadogosha eti 'Ka' ndio utajiri wenyewe ambao wengi tunasota kuupata.
  8. Sea Beast

    Unalipwa 500,000 TZS? Jaribu kuishi hivi!

    Boom ni 250K mzee hio mambo ya stationary sijui Field ni mara moja kwa mwaka
  9. Sea Beast

    Unalipwa 500,000 TZS? Jaribu kuishi hivi!

    Mzee unakumbuka ulienda kuchangia damu Muhimbii hili upate 25000 nilikuwa nakuangalia kwa nyuma unavyorudi nakuonea huruma 😂😂
  10. Sea Beast

    Unalipwa 500,000 TZS? Jaribu kuishi hivi!

    Sio 500K hata 1M ni ndogo swali ni je, unaweza kuipata hio zaidi ya 500K kwa mwezi??
  11. Sea Beast

    Vijana wanazipenda Energy drink sio kwasababu ni Energy bali kwasababu ya Taste zake

    Iko hivi radha kama Malt nk nyingi zimewekwa kwenye pombe tu ila kwenye soft drink wafanya biashara wameweka kwenye Energy drink tu hivyo watu wengi wanaopenda kunywa Energy sio kwamba wanapenda ule u-energy wake bali ile taste yake yenye bites na chumvi ambayo kwenye MoPassion huipati...
  12. Sea Beast

    Kwa Interview hii, Kiredio amuache huyu demu mapema kabla hajaweuka

    The point ni kuwa...Mwanaume kazidiwa mwili na mwanamke ndio chanzo cha yote hayo hadi mtangazaji ndio maana nauliza hayo maswali. Unakuwaje na mwanamke kakuzidi urefu na mwili kama hivyo
  13. Sea Beast

    Mwanaume Anatakiwa Awe Anajua Kupika au Kupika ni Suala la Wanawake Tu?

    K Kuishi geto pekeyako kuna uhudiano gani na kuoikapika, nimeisha geto na sijawai kuwa hata na jiko msilete Excuse kama mumeamua kupikapika kama wakike endeleeni.
  14. Sea Beast

    Chid Benz amekua 'Pande la Mtu', tazama akitumbuiza kwenye siku ya kupambana na madawa ya Kulevya

    Kitambi na kunenepa ni afya pia sio afya inategemea umeangalia kwenye upande gani.
Back
Top Bottom