Nasumbuliwa na tatizo la mishipa ya taya kubana pembezoni mwa masikio, mpaka kichwani kwenye utosi na kwenye kichogo. Hali inasababisha wakati wa kupiga mihayo nipate maumivu kwenye taya na muda mwingine naweza kukosa balance.
Hali hii imeanza toka mwezi wa nne mwaka 2019. Msaada na maoni yenu...
Kuna
Kuna dawa nilipewa ambayo Ni dozi ya mwezi mzima ila unatakiwa tuu ukamuone daktari maana dalili za magonjwa zina fanana fanana. So unaweza ukatumia hizi kumbe tatizo Hilo auna ukawa unajitengenezea tatizo jingine...
So nivyema kuuzuria kwa mtaalam....ila orodha ya dawa ipo
Habarini ndugu zangu,wazee wangu, wazazi wangu Kaka zangu, dada zangu, wadogo zangu, pamoja na vijana wenzangu kwa ujumla.
Umri wangu mi Ni miaka 26 Ni kijana wa kiume mwenye akili timamu.
Nimejitokeza katika ukurasa huu kwania njeama ya kutafuta MARAFIKI.
Kwa lengo la kujifunza, kuongeza...
Sawa.
Fanya siku moja Kama mnaamiana na mwenzio jarbuni kufanya bila kinga.
Ukiona unatumia dk chache bao la Kwanza , pia dakika chache bao la pili( dk 5 au Dk 10.)..
Na ulikua unafanya punyeto jua moja kwa moja imekuathri. Na unatakiwa utumie njia mbadala tofauti na madawa ili uwe normal...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.