Nimeweka nia ya dhati na nimeweza

Nimeweka nia ya dhati na nimeweza

30s na nimetumikia chama kwa miaka 12 nilikuwa addicted kabisa ila any addiction huondoka kama ukiwa na nia ya dhati

Ilifika kipindi nikiona mafuta geto napata mzuka aseeh its dangerous hii kitu
kwa umri huo si ungekuwa unapooza arosto ya mihemko kwa shemu!?
 
30s na nimetumikia chama kwa miaka 12 nilikuwa addicted kabisa ila any addiction huondoka kama ukiwa na nia ya dhati

Ilifika kipindi nikiona mafuta geto napata mzuka aseeh its dangerous hii kitu
😂😂😂😂😂.

Ukiona mafuta getto unapata mzuka
 
Miezi saba tu kwa nyeto bado sana kitu pekee kinachoweza kukutenganisha wewe na nyeto ni Kifo otherwise uko likizo tu.
Hapana tatizo mnaaminishana kuwa ni ngumu kitu ambacho si kwel
 
Madhara ya punyeto yanayonadiwa kila kona ni. Kupunguza nguvu za kiume. Uume kulegea.

Sasa pima katika hayo madhara mhusika yanamdhuru vipi wakati wanaodhulika nayo ni wanawake! Hivi nguvu zako za kiume zikipungua anayeumia ni wewe ama mkeo? Uume wako ukiwa legelege anayeumia ni wewe ama mkeo? Kutokuwa na hamu ya tendo we inakudhuru nini? Mi nasubiri kama madhara yatakuwa yamesimama upande wa uchumi na uboreshaji ea teknolojia hapo ndipo nitaanza kampeni za kukipinga chama pia nitajiondoa katika chama. Ama madhara yake yakiwa ni kudidimiza nguvu za kikazi yaani kulegea kwa mikono si kulegea kwa dushe
Hahahah , umeandika upupu ila umeutetea kwa misingi mizuri sana.
 
Back
Top Bottom