Habari zahumu ndani. moja kwa moja kwenye point. Mimi nimwandishi/mtunzi wa nyimbo najambo hili nalipenda sana, huwa naandika nyimbo kwa muda wangu waziada.
Ningelipenda pata mtu/ watu watakao imba mashairi yangu, nayatoa bure kabisa. Maishairi yangu naandika juu ya beats ninazozikuta Youtube. So msanii anaweza ku sample beat hiyo au tengeneza ya kwake.
Mfano wa mashairi. Niliyoandika na beat yake nihuu hapa kwenye link.
Nyimbo inaitwa furaha yangu.
Uliza chochote.
Natanguliza shukrani.
>>>>> UPDATES
Nimejitahidi weka melody japo nimefanya animation yasauti kidogo. Unaweza icheki now
furaha yangu - song melody.
>>>>>>>> PIA NIMEWEKA NYIMBO NYINGINE NILIYO ANDIKA
UKIHITAJI MELODY PM TAFADHARI.
SONG: Nimeumbiwa
>>>Uliza chochote au maoni tafadhari
Ningelipenda pata mtu/ watu watakao imba mashairi yangu, nayatoa bure kabisa. Maishairi yangu naandika juu ya beats ninazozikuta Youtube. So msanii anaweza ku sample beat hiyo au tengeneza ya kwake.
Mfano wa mashairi. Niliyoandika na beat yake nihuu hapa kwenye link.
Nyimbo inaitwa furaha yangu.
Uliza chochote.
Natanguliza shukrani.
>>>>> UPDATES
Nimejitahidi weka melody japo nimefanya animation yasauti kidogo. Unaweza icheki now
furaha yangu - song melody.
>>>>>>>> PIA NIMEWEKA NYIMBO NYINGINE NILIYO ANDIKA
UKIHITAJI MELODY PM TAFADHARI.
SONG: Nimeumbiwa
>>>Uliza chochote au maoni tafadhari