Ukiangalia ki upana magufur alitak Tanzania iwe ya viwand kwa sababu alion watanzania weng wana elimu but kaz ndo hamn lakin kwa mtazamo wang mm magu kama angalikuwepo hai bac angeweza kulipunguz hili angalau kwa kias we angalia iliwafany vijan kuto kutegemea elimu kwa kuw ni kwer elimu tulikuw...
Sahiv ukiangalia hakuna point itakayo mfany magu haonekane ana hatia kwa sababu kila anaejalibu kuonesha makosa ya magu vitu alivyo fany magu vinaonyesh waz hana hatia magufur alikuwa mwamba tenah mwamb imara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.