Msanii Rayvan pengine hayupo Wasafi tena

Msanii Rayvan pengine hayupo Wasafi tena

Kama yupo hai inatosha.

Maisha siyo lazima kuwa Wasafi.
 
Ruge hamkumtetea hivi
Ruge hakuweka hata shilingi kumi kwa Mondi, Mondi akiendaga THT akafukuzwa na kuambiwa hajui kuimba, aliyewekeza hela yake ni papa Misifa na Mondi alipofunja mkataba kwa mujibu wa Papa Misifa alimlipa 50mil kama faini ya kuvunja mkataba.

Huusiano wa Diamond na Ruge ni kama Msanii na promota.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom