Recent content by Scofield

  1. Scofield

    Tatizo la mikopo kwa wenye Leseni za Migodi

    Asante kwa maelekezo na kunifahamisha kwako. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Scofield

    Uingizwaji wa Cement na Clinker kutoka nje

    Ninachofahamu ni kuwa Mh. Raisi alipiga marufuku uingizaji wa raw Materials ambazo zinapatikana nchini na hasa katika viwanda vya saruji, sina hakika na clinker kwakua sio raw material japokuwa ni zao la raw materials. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Scofield

    Tatizo la mikopo kwa wenye Leseni za Migodi

    Habari na poleni na majukumu ya kila siku. Mimi ni mdau wa mda mrefu katika sekta ya madini nchini, nina miliki leseni kadhaa za uchimbaji mdogo yaani Primary Mining License (PML). Kuna jambo ambalo linanichanganya sana, hadi hivi sasa mmiliki wa hati miliki ya kiwanja/nyumba anaaminika na...
  4. Scofield

    IMF Report on Tanzania: Hiki ndicho ambacho watanzania hawakupaswa kujua

    Zitto wewe si Mbunge wa Kigoma bali ni Mbunge wa Taifa. Unahudumia kila mwananchi, sisi tunakuelewa sana brother...WAKIMBIZE.
  5. Scofield

    Mambo haya yanaharibu na kuvunja kabisa upendo na ndoa ya mwanamke

    Ili kumjua mwanamke vzr ni lazma uishi nae kwanza, kabla ya ndoa wengi wamekua na tabia nzuri za kuigiza ili kutafuta ndoa na baada ya hapo inakua ni kinyume chake.
  6. Scofield

    Msaada wenu plizzz...!

    Habari, Mimi ni Mtanzania nilie ajiriwa kama Operator wa Mitambo (Grader,Excavators,Dozer,Wheel Loader e.t.c). Kwa sasa nataka kuwa INSTRUCTOR/TRAINER wa MITAMBO ila tatizo nililonalo ni kutofahamu CHUO kinachotoa mafunzo ya Operator's Instructor. Nimeenda N.I.T ila hawana kozi hii...
  7. Scofield

    Excavator Operator

    Natafuta kazi, iwe ni mining/road construction, nina experiance ya miaka 2 na pia nina license. Yeyote yule anaejua sehemu yoyote yenye nafasi hiyo ya kazi anijuze, au sehemu yoyote yenye ujenzi pia - 0717 900 379 & 0752 447 733.
  8. Scofield

    Wapi kuna chuo cha operator catterpilar

    Nimehangaika sana kutafuta chuo kwa ajili ya kujifunza operator wa caterpilar, kwa yeyote anayefaham hilo anijulishe tafadhali.
  9. Scofield

    Unafahamu yaliyojiri, idara ya uhamiaji???????????????

    Sijasikia chochote hadi sasa,mimi niliomba ila kwa bahati mbaya hata kwenye interview jina langu halikutoka,nawafuatilia sana hawa watu mana nimeskia kuwa baada ya bajeti watatoa tena posts So kama nikiona na majina yenu ya waliopita kwenye usaili nitakwambia na wewe kama utasikia chochote...
  10. Scofield

    Nafasi za kazi JWTZ

    Nahitaji kuomba JWTZ ia bado sifahamu namna ya kupata fomu dedlin etc................
  11. Scofield

    Breaking news: Mpaka wa Tunduma wafungwa vurugu kubwa

    Inakuaje FFU wafike mda huu ikwa kuna polisi wa uhamiaji muda wote ?Any way hii ni bongo so kila kitu si ni kuangalia hata siku moja hatuta ingia barabarani na kuandamana kwa matendo machafu yanayofanyika ktk nchi hii na tutaendelea kuonewa hivihivi,mara Umeme,Madaktari n.k.......why ?
  12. Scofield

    Nafasi za uhamiaji.

    Poa mkubwa nimekupata..........
  13. Scofield

    Nafasi za uhamiaji.

    jAMANI NINA KA DIPLOMA KANGU KA 'I.C.T' NIMEHANGAIKA SANA KUTAFUTA KAZI ILA IMESHINDIKANA,SO NIMEAMUA KUJIINGIZA KATIKA JESHI LA POLISI ILA NIMEPENDA ZAIDI MIGRATION,NAWAOMBA WADAU WOTE KWA YEYOTE ATAKAE SIKIA KAMA NAFASI ZIMETOKA ANIJUZE VILEVILE KAMA KUNA ANAEJUA VIGEZO VYAO NIJULISHENI...
Back
Top Bottom