Ninachofahamu ni kuwa Mh. Raisi alipiga marufuku uingizaji wa raw Materials ambazo zinapatikana nchini na hasa katika viwanda vya saruji, sina hakika na clinker kwakua sio raw material japokuwa ni zao la raw materials.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.