Wakuu hebu angalieni ukuraca wa airtanzania kwenye facebook mtaona uniform za cabincrew , si hizi zilizowekwa kwenye hii mada... https://www.facebook.com/airtanzania/photos
Kwani alitegemea watoke kuzimu au? Yaani jamaa hata hawezi kufikiri!!! Enzi zile kila mtu alikuwa mwanachama wa ccm iwe unataka au hutaki, hupati kazi, huendi chuokikuu, hufanyi lolote la kukuendeleza bila kuwa mwanachama wa CCM sasa alitegemea waanzilishi wasiwe CCM kipindi hicho??
Pepooooooooooooooooooooooooooooooooozzz Pawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa... magamba mtahaha sana lkn maneno itabaki vilevile, CDM wanapeleka puta!!!! na bado mtajuta kwa nini mlichakachua kura 2010!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.