Amekuwa waziri kwa miaka kadhaa, hakuwa na maarifa ya kujipatia angalau gari linalofaa? Hivi tukimuamini huyu anaweza kuwa na maarifa ya kuwapatia watanzania maendeleo?
Maarifa kama ya kina maige?
Amekuwa waziri kwa miaka kadhaa, hakuwa na maarifa ya kujipatia angalau gari linalofaa? Hivi tukimuamini huyu anaweza kuwa na maarifa ya kuwapatia watanzania maendeleo?
masalaia ya nyerer haya. Kuna porf. Mmoja sua naye ni balaa, mpaka leo anamiliki baiskel tu. Aliwahi kupewa tv kubwa kwa kufaulu vizuri urusi, tv kakabidhi chuo.
Kuna mwanae ambae alikuwa nasoma kozi yake, alisap mara mbili somo la baba yake
Kweli hana makuu kwani hata kiatu chake kimepinda kwa sori kuishaaaa
duh.. Huyo prof. Kweli ni mkomonisti..! Kwa jinci kizazi chetu kilivyopagawa huyo hafai hata kwa kurumangia..! Ila ninamshauri achangamke kidogo.. Pension hapa tanzania ni kichekesho kikubwa.. Acije akaishia kwenye mabanda ya mnazi na kangara buree..
Kamala hana makuu kabisa namfahamu fika kabisa.
Kuanzia nikiwa nasoma Mzumbe sekondari wakati huo akiwa assistant lecturer Mzumbe chuoni, alikuwa na kapikipiki kake aina ya vespa baadae akaenda UK kusoma aliporudi 1998 akaja na gari hii hii ambayo nimeshangaa kuona hapa kwamba bado anayo mpaka leo hii. Kamala ana familly ethics nzuri sana. Yeye na mke wake ni wacha Mungu wazuri sana, wanaingilika kwa uraisna watu wa aina zote, kada zote, na sistaajabu kuona maisha yanamnyookea.
K
Kweli kk, huyu jamaa anamiliki gest house kali tu inaitwa Vanilla pale morogoro, mara kibao nimemuona na ipsum na vx, hizi ni propaganda baada kina Maige kuonyeshwa mali zao na haka ni kamtindo ka kuficha ufisadi wao, huyu alikuwa lecturer Mzumbe akapata PhD ya uheshimiwa, sasa mnasema hana makuu wakati hio gari ndo kaanzia lfe miaka akiaanza kufundisha Mzumbe akaona asiuze iwe km kumbukumbu.Achane hizo jamani, huyu ashomile si wa kihivyo.Hizo propaganda za miaka ya 47.Kamala anaishi mbezi beach, maeneo ya makonde upande wa baharini, tena kwenye ghorofa kubwa tu.Kamala ana magari mengi sana, juzi juzi (baada ya kuteulewa ubalozi), alikuwa anauza Nissan yake, in short alikuwa anapunguza idadi ya magari, kwani hatakuwa anayatumia, muda mwingi atakua ulaya.