Sio wa primary tu,hata hao wa secondary hamna kitu wote failure
Una uhakika?
Sio wa primary tu,hata hao wa secondary hamna kitu wote failure
Habari wanaJF, Kwa utafiti niliofanya unaonyesha kuwa walimu wa ngazi tofauti kamwe hawawezi kugoma.Hii ni kutokana na waliowengi wanatumia vyeti visivyo vyao(vyakughushi) hususani wale walimu wa cheti na wengineo.Sababu hii inawafanya kuogepa kugoma kwn itatokea serikali ikawasimamisha walimu na kuamuru usaili ufanyike upya ajira itakuwa imekwisha.Ndio maana siku zote mgomo ukipangwa waliowengi hawashiriki na kutokufanikiwa kwa mgomo.hvy basi msitegemee kuona mgomo kwa Walimu wetu.
unless u do not appreciate the role of education but as far as i know a material graduate graduate hawezi kuburuzwa kama ilivyo kwa walimu sasa. Na kama ni graduate basi ni kweli wa kughushi vyeti.Jamani msilete majibu ya utafiti kwa kuhisi au mazoea. Kwa taarifa walimu wengi sasa hivi wa primary na magraduate. Hata wewe unaejidadafua hapa sasa hivi nimekufundisha uongo ukweli?
Sio wa primary tu,hata hao wa secondary hamna kitu wote failure
Sio wa primary tu,hata hao wa secondary hamna kitu wote failure
i wonder if you really know what you are saying,wewe hapo are you really a graduate?pole sana how can you call yourself optimistic thinker when you think like this? mbona graduates kwenye sector nyingi kwa serikali yetu kwa system iliyoko wanaburuzwa tu ikija kwa walimu wewe unawaona ni fake graduates?shame itabidi uchange iyo jina unalojiitaunless u do not appreciate the role of education but as far as i know a material graduate graduate hawezi kuburuzwa kama ilivyo kwa walimu sasa. Na kama ni graduate basi ni kweli wa kughushi vyeti.
Tena ukome,walimu siyo failures wote kama unavyofikiria ww hapo ndio failure nadhani
lakini katika nchi ina maana kuna watua ambao ni huru kuliko wengine. Kwa maana hiyo madaktari wao ni huru na wana haki ya kugoma kuliko walimu? Mfumo huu wa kuwagawa watu hauwezi kuleta ufanisi ktk nchi yetu. Afterall hawa madaktari walifundishwa na nani kama siyo hao walimu mnaowabeza. Mfumo wa nchi ndio ulioifanya taaluma ya waalimu ni kimbilio la waliofeli. Nakumbuka tangu miaka ya 80 wale wote wenye pass mark duni ndio waliopt kwenda ualimu na wakasoma 2 yrs leo tunasema eti hawana sifa za kuwa waalimu na kwahiyo hawawezi kugoma. Kila mtu ana haki ya kupata mahitaji ya msingi siyo kwa sababu madaktari wanaweza kuchinja watu kwa kugoma kwao.habari wanajf, kwa utafiti niliofanya unaonyesha kuwa walimu wa ngazi tofauti kamwe hawawezi kugoma.hii ni kutokana na waliowengi wanatumia vyeti visivyo vyao(vyakughushi) hususani wale walimu wa cheti na wengineo.sababu hii inawafanya kuogopa kugoma kwn ikatokea serikali ikawasimamisha walimu na kuamuru usaili ufanyike upya ajira itakuwa imekwisha.ndio maana siku zote mgomo ukipangwa waliowengi hawashiriki na kutokufanikiwa kwa mgomo.hvy basi msitegemee kuona mgomo kwa walimu wetu.
sasa huwa wanafundisha nini?Habari wanaJF, Kwa utafiti niliofanya unaonyesha kuwa walimu wa ngazi tofauti kamwe hawawezi kugoma.Hii ni kutokana na waliowengi wanatumia vyeti visivyo vyao(vyakughushi) hususani wale walimu wa cheti na wengineo.Sababu hii inawafanya kuogopa kugoma kwn ikatokea serikali ikawasimamisha walimu na kuamuru usaili ufanyike upya ajira itakuwa imekwisha.Ndio maana siku zote mgomo ukipangwa waliowengi hawashiriki na kutokufanikiwa kwa mgomo.hvy basi msitegemee kuona mgomo kwa Walimu wetu.