kwa kipindi chote ambacho amebainika kwa mabaya yake yamesemwa mengi juu yake na hilo ndo limekuwa darasa tosha kwake kwahiyo hatataka tena kashfa ya mabaya imrudie, so atafanya vizuri kuliko kiongozi mwingine yeyote amnaemfikiria, afu kuchagua kiongozi tajiri ni nzuri sababu hana haja tena ya...
Hata Nyerere kama mwasisi wa CCM aliwakataa baadhi ya wanachama kwenye mchakato wa uteuzi kugombea nafasi fulani na haikuonekana dhambi ila kwa Mtei wa CDM mmeona ni dhambi, play fair huyo ni mwasisi
Watanzania tuwe makini tutachukua hatia ya kuuwa mtu innocent kumbe alikuwa ni kichaa tu anaeleza vitu vya ajabu2 kama ushirikina na amejikusanyia vitu vya vinavyohusiana na uchawi kwa uchizi wake afu nyie mnaamini ni mchawi kumbe kichaa, ivi nani alimwona anapoanguka??
Mbona walikataa bendera zote isipokuwa ua taifa, imekuaje tena apitie ofisi za mkoa na picha zingine anapunga mkono hewan kwa kuonyesha nembo ya chadema, ama nimekubali Zitto ni baba lao kwa UNAFIKI
Yaan huyo mwigulu anashangaza sana kumwinukia mbowe pekee yake, bunge karibu lote ni chafu na hata mwigulu nawe ni mchafu na una wajibu wa kusimamia na kusemea ukweli mambo muhimu zaid ya hili la mbowe, so acha ushabiki wa kivyama, simama kwa ukweli daima
Afu huyo mtoa taarifa wa polisi anajuaje kuwa dhamira ya MABINA haikuwa kuuwa hali polisi hawakuwepo kwenye eneo la tukio?, kuuwa kwa kudhamiria au kutodhamiria ni siri iliyokuwa moyoni kwa Mabina na kaondoka nayo, so polisi acheni longolongo zenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.