Recent content by sayi_bugise

  1. sayi_bugise

    RC Paul Makonda afika Bungeni kuhojiwa na Kamati ya Maadili. Taarifa itasomwa bungeni...

    Kwanini uishe? Endeleeni tu,na ikifika 2020 muombee kula muwaambie wananchi mkishinda mtamfukuza
  2. sayi_bugise

    Vita ya Kificho ya Nape na Makonda sasa yafikia patamu

    Wasikilizaji wa radio hapa bongo bado sana kutumia king'amuzi,huwezi linganisha Clouds FM na hako ka EFm,ndo yale ya ilani mkasome mtandaoni
  3. sayi_bugise

    Utajiri wa siri wa mchoma mahindi

    Uhakika wa maisha lazima ukutane na ajira (job security) ambayo ndiyo umasikini maisha yote ukosubiri pension. Risk takers ndiyo wanaoiendesha dunia,wajasiriamali kama Shigongo. Kutoka Buchosa mpaka kuwa mtu kati ya watu mjini. Paul Makonda. Kutoka kuchimba mchanga na kuchoma mkaaa mpaka RC Dsm.
  4. sayi_bugise

    Wanasiasa Wafuatao, Kisiasa Wamekufa Kifo Cha Mende

    Acha ujinga,usukuma umeingiaje hapo?
  5. sayi_bugise

    Tishio dhidi ya TLS: Wanasheria Afrika Mashariki wamlima barua Waziri Mwakyembe

    Who are they? Hivi Zanzibar walienda wapi? Tumia akili yako.
  6. sayi_bugise

    Picha: Jiji la Dar es Salaam

    Safi sana
Back
Top Bottom