Uhakika wa maisha lazima ukutane na ajira (job security) ambayo ndiyo umasikini maisha yote ukosubiri pension. Risk takers ndiyo wanaoiendesha dunia,wajasiriamali kama Shigongo. Kutoka Buchosa mpaka kuwa mtu kati ya watu mjini. Paul Makonda. Kutoka kuchimba mchanga na kuchoma mkaaa mpaka RC Dsm.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.