Nafikiri kitu cha msingi ni... Mwakyembe alitamka hakutamka? wewe unasumbuka na minor issues eti walikaa lini itakusaidia kitu gani.Zingine zote kaona hazina maana kuzitaja kaziweka kundi la VARIOUS MEDIA CHANNELS msisistizo akaona auweke kwenye gazeti lililopigwa marufuku tANZANIA la THE EAST AFRICAN ambalo ni kinara wa kuidhalilisha Tanzania hadi likapigwa marufuku kusambazwa Tanzania.Kuna watu wa nje ya nchi wanataka kuingilia mambo ya ndani ya Tanzania kwa kujificha kwenye chaka la EAST african law society na gazeti la THE EAST AFRICAN