Chadema Ebu Acheni Ubashite Kama Na Ccm Itafuata Huo Ubashite Wenu Basi 1/3 Ya Wabunge 9 Haitapatikana Maana Ccm Idadi Yao Ni 6 Na 1/3 Ya 6 Ni 2 Kwahiyo Wabunge Wa3 Wa Kike Haitakamilika Hivyo Upinzani Wanatakiwa Kutoa Mbunge 1 Wa Kike.
Naona Chadema Mnajikanyaga, Hivi? Maana Ya Uchaguz Nii Nini Na Pia Moja Ya Tatu Si Lazima Iwe Wanawake 3 Mbali Nikuanzia 3 Na Kuendelea Wanaweza Hata Wakawa 5 Kati Tisa Kwahiyo Msijidanganye Eti Ccm Walishakamilisha, Kwa Mfano Ccm Ingekuwa Wajinga Kama Nyinyi Na Kuweka Idadi Kamili Yaani 6 Na...
Hivi kuna haja ya kuutangazia umma yakuwa umeoto ndoto, maana kila moja anaota ndoto, nionavyo mm siyo ndoto mbali anajaribu kumtisha mkuu wa nchi, basi ngoja aonje utamu wa sero.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.