Recent content by SAYARI DUNIA

  1. S

    Enyi makada wa CHADEMA,kanusheni hizi kauli zenu

    Na Kama Lowasa Siyo Fisadi Kwanini Walitudanganya Kwa Miaka Nane, Tuwaamini Kwa Lipi?
  2. S

    Gwajima ni 'Threat to National Security', Mamlaka husika zimdhibiti

    Pole Kwako Kwa Unayefuatilia Kipindi Cha Mipasho Tanzania, Maana Du!
  3. S

    Spika Ndugai: CHADEMA wakileta wale wale wakakataliwa tutabadili kanuni tuwape wengine

    Chadema Badala Ya Kulialia, Wanatakiwa Wafuate Utaratibu Unavyotaka
  4. S

    Katibu wa Bunge (Dr. Kashililah), iache CCM itoe theluthi moja na ijizolee sifa. Please!

    Chadema Ebu Acheni Ubashite Kama Na Ccm Itafuata Huo Ubashite Wenu Basi 1/3 Ya Wabunge 9 Haitapatikana Maana Ccm Idadi Yao Ni 6 Na 1/3 Ya 6 Ni 2 Kwahiyo Wabunge Wa3 Wa Kike Haitakamilika Hivyo Upinzani Wanatakiwa Kutoa Mbunge 1 Wa Kike.
  5. S

    Hivi hii 1/3 inayotajwa na Katibu wa Bunge,ni uwakilishi wa Tanzania EALA au kutoka vyama vya siasa?

    Naona Chadema Mnajikanyaga, Hivi? Maana Ya Uchaguz Nii Nini Na Pia Moja Ya Tatu Si Lazima Iwe Wanawake 3 Mbali Nikuanzia 3 Na Kuendelea Wanaweza Hata Wakawa 5 Kati Tisa Kwahiyo Msijidanganye Eti Ccm Walishakamilisha, Kwa Mfano Ccm Ingekuwa Wajinga Kama Nyinyi Na Kuweka Idadi Kamili Yaani 6 Na...
  6. S

    Mange Kimambi afunguka kuhusu Ufisadi wa Vodacom

    Huyo Mange Kwa Sasa Ni Reference Ya Chadema
  7. S

    Lema, Mbunge anayekitia chama hasara

    Hivi kuna haja ya kuutangazia umma yakuwa umeoto ndoto, maana kila moja anaota ndoto, nionavyo mm siyo ndoto mbali anajaribu kumtisha mkuu wa nchi, basi ngoja aonje utamu wa sero.
  8. S

    Kwa kosa hili, Lowassa huji kuiona Ikulu

    Yote yaliyotabiriwa sasa yametimia.
  9. S

    Dr. Slaa alitema big G kwa karanga za kuonjeshwa

    Mchango wa DR SLAA kwa upinzani hauwezi kusahaulika labda kichaa tu ndiyo anaweza kusahau.
  10. S

    Nimlaumu nani, baba au mama?

    Nimechukua kitu hapo.
  11. S

    Nimlaumu nani, baba au mama?

    Ndiyo maana nikaomba ushauri.
  12. S

    Nimlaumu nani, baba au mama?

    #Naiman64 , unanionea bure maana jambo ambalo unaifahamu kwa juujuu leo hilo unakuja kupata ukweli fulan inachanganya.
  13. S

    Nimlaumu nani, baba au mama?

    Usifanye hivyo maana damu ni zito kuliko mbege.
  14. S

    Nimlaumu nani, baba au mama?

    Sijakuelewa ndugu.
Back
Top Bottom