SAYARI DUNIA
Member
- Jul 19, 2015
- 54
- 17
- Thread starter
- #21
Baki kwa baba mlezi.
Asante
Baki kwa baba mlezi.
Baba wa mtoto ajuaye mama pekee kama mama ako alikuambia huyo unaeishi naye ndo baba ako...we unamwamini vp huyo mwingine?
Anayejua furaha yako na huzuni zako , ukiumwa yu pembeni yako , anajua madhaifu yako na kukukanya kwa upendo ufuate njia zilizo sahihi , amekupa upendo wa mzazi halisi pasipo wewe kujua tofauti yoyote ndiye baba yako ,Huyo tapeli aliyekuja sasa na kujionesha kuwa ndiye baba yako alikuwa wapi siku zote .Hivi moyo wako unafungukaje na kuanza kumpenda mtu kama huyo kweli twatofautiana miaka 19?
Binafsi upendo ungeongezeka kwa baba mlezi maana ni wa peke hajaonesha ubaguzi au kinyongo cha kulea mtoto asiye wake unless alikuwa hajui kama mtoto si wa kwake .Lakini bado bond mliyonayo ni strong kwakweli
Baki mwenyewe na roho yako Son. Wote wawili wanaweza kuwepo kwenye maisha yako harmoniously. The only one who can disturb that is you
Samahani...naomba nikuambie in a very polite way...
"Una akili kweli wewe?
Miaka yote 19 alikuwa wapi?????
Hivyo vichwa vina matumizi gani? Kufugia nywele???
Bibi aliwahi kuniambia kuhusu baba yangu halisi ila nilipuuzia ndiyo maana ss ninaamini huenda ikawa.
Ni kweli usemalo ila huenda mama alinificha kulinda heshima yake.
Usifanye hivyo maana damu ni zito kuliko mbege.
Asante kwa ushauri ila mbona unanisuta ss.
haya mambo ni magumu
Binafis nimelelewa na mama lakin baada ya kuingia mwaka wa kwanza chuo baba alikuja na kudai yeye no baba yangu kuwa natakiwa niishi nae lakin nilkubali tu kuwa ni mzazi lakn siwez kuish nae mda wote alikuwa wap?
Bibi aliwahi kuniambia kuhusu baba yangu halisi ila nilipuuzia ndiyo maana ss ninaamini huenda ikawa.