Recent content by Sauti ya amani

  1. Sauti ya amani

    Sijawahi kumsikia MAKONDA akiongea Kiingereza

    Kwan akil kama hizi mtailaumu sana serikal kuwa hakuna ajira
  2. Sauti ya amani

    Nahitaji Toyota Probox used Nina 5.5M 0749442229

    Mwenye hyo gari nitafute ukiwa dar itapendeza zaidi
  3. Sauti ya amani

    Wewe kama mwanaume Unaweza kuvumilia?

    Punguza ukarib kidogo ingawa ni ngumu ila jikaze hapo utampata kirahis na tunda utalila kiwepesi sana ,Chelsea kujb sms ,mpk akufte ndo umjib bila hvo kaka
  4. Sauti ya amani

    Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) yamwaga ajira

    Kama una changamoto yoyote kwenye kutuma maombi kwenye hizi ajira zaidi ya 1500 za TRA au unahitaji kusaidiwa kufanya maombi kuanzia kufungua account,mpka kumaliza mchakato huu ote ndani ya saa moja nicheki 0749442229 au Whatsapp0744983130
  5. Sauti ya amani

    Mwalimu wa Geography, History na Kiswahili nipo

    Kipindi Cha likizo hiki hasa kwa advance kujiandaa kuingia form 6 na kuingia form 5 mzazi au mlezi niite nikufundishie mwanao akiwa hapo hapo nyumbani kwa bei nafuu kabisa ,nipo Dar mbagala kwa wakazi wa kijichi,mbagala kuu, mgeninani,vikunai pote nafika. Nichek 0749442229 au WhatsApp 0744983130
  6. Sauti ya amani

    Ofisi ya uhamiaji watangaza nafasi mpya za kazi, November 2024

    Kam unatumia simu ingia chrome afu turn your phone into desktop mode utapona Kila kitu Kam hujaelewa nichek 0692179821
  7. Sauti ya amani

    Maswali ya interview (usaili) kwa kada ya ualimu yapoje?

    Hii English ulisomea memkwa mkuu au?
  8. Sauti ya amani

    Utumishi mmegoma kutoa majina na vituo vya usahili kwa walimu

    Ni wiki sasa tangu walimu waambiwe wa confirm their current address lakini mpaka mda huu kimya, Kuna watu hawaendelei na majukumu Yao kisa kusubiri hizo interviews ,kwa upande wa afya haikuchukua mda mrefu je ni kwamba wamezidiwa na idadi au ?
  9. Sauti ya amani

    SoC04 Huduma za maji safi na salama nchini kwa kutumia mfumo wa usafishaji maji utumiao nishati ya jua

    Hongera kwa ushindi nkawa naomba unisave hta 20000 Mimi mpga kura wako mpesa 0749442229 Joel
Back
Top Bottom