Punguza ukarib kidogo ingawa ni ngumu ila jikaze hapo utampata kirahis na tunda utalila kiwepesi sana ,Chelsea kujb sms ,mpk akufte ndo umjib bila hvo kaka
Kama una changamoto yoyote kwenye kutuma maombi kwenye hizi ajira zaidi ya 1500 za TRA au unahitaji kusaidiwa kufanya maombi kuanzia kufungua account,mpka kumaliza mchakato huu ote ndani ya saa moja nicheki
0749442229 au Whatsapp0744983130
Kipindi Cha likizo hiki hasa kwa advance kujiandaa kuingia form 6 na kuingia form 5 mzazi au mlezi niite nikufundishie mwanao akiwa hapo hapo nyumbani kwa bei nafuu kabisa ,nipo Dar mbagala kwa wakazi wa kijichi,mbagala kuu, mgeninani,vikunai pote nafika.
Nichek 0749442229 au WhatsApp 0744983130
Ni wiki sasa tangu walimu waambiwe wa confirm their current address lakini mpaka mda huu kimya, Kuna watu hawaendelei na majukumu Yao kisa kusubiri hizo interviews ,kwa upande wa afya haikuchukua mda mrefu je ni kwamba wamezidiwa na idadi au ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.