Umeongea ukweli mtupu, kuongezea ifike kipindi serikali Ione umuhimu wa kuwapongeza wamama wanaojifungua kwa kuongeza raia wapya wawafirie kuwapa chochote, bila kusahau waumezao.
Kuna watu wanapinga wajawazito wasijingue Bure wakidai nchi hai fedha, upande wapili kila will haikosi habari ya...
Kama ni wahovyo chagua kati ya mawili either huyo mke wewe ni ndugu yake kwahyo unamtetea or wewe ndo huyo jamaa uliyefanya huo upuuzi kwa mke wa jamaa.
NB; Acha kukusoa watu, wewe umeombwa kutoa ushauri tu, muhusika ndo muamuzi wa ushauri gani unamfaa.
Pole sana, nakushauri pitia hospitali kampime afya na mimba usije ukalea watoto wasio wako. Kama yupo salama endelea nae tu, ikitokea otherwise hutakuwa na budi
Naishauri serikali ichezeshe tu jackpot ya wazi ya hizo ajira, iwe live kila mtu aone mpaka hizo nafasi wanazotaka ziishe vinginevyo lawama hawataweza kuzikwepa
Wanafunzi ndo watawalipa, tutarajie mimba za kutosha, na matukio mengine ya ajabu ajabu.
Mtu hawez kujitolea bure bure tu target zake zisipotimia atafanya maajabu.
Upo sawa mkuu, kuongozea hapo Azam anasaidia kuongeza mzunguko wa fedha, iwapo hizi timu zetu za mikoa wachezaji watalipwa ipasavyo itasaidia sana mzunguko mikoa yenye timu katika ligi kuu
Biashara yoyote Kuna faida na hasara, na ile ni biashara, siwez kutaja hasara anazozipata Mimi sio mtaalam wa sekta hiyo.
Azam hajakurupuka anawataalam wengi wanamshauri.
Labda wewe ungekuwa mdhani ungeweka dau gani?
Kama za marvel huzielewi za DC ndo huwezi kuzielewa kabisa, coz wapo parallel japo DC ni waongo sana, huko utakutana na kina Superman na mwenzake Batman na akina the Flash.. etc😀 niwaongo sana
Kwa jinsi waTz tulivyo hata Azam angeweka Trillion Bado wangelaumiwa, Naamini Kuna hasara nyingi tu Azam pia anazipata
Muhimu tu appreciate alichokitoa Azam
Faida za Dini
1- unapata kujua chanzo Cha mwanadamu pia historia, Dini imeelezea Ila sayansi inakuja kuprove
2- ukiwa mfuasi wa Dini Kuna ahadi ya malipo baada kufa
.
.
Etc.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.