baiser
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 1,455
- 2,179
Nianze na salamu kwenu wana JF
Nikiwa kama mwanaume ambae nimeoa na kubarikiwa watoto wa 2 niseme tu naheshimu hali ya ujauzito kwa mwanamke kwan mateso ya uchungu nimeyaona
Na pia nawapongeza madaktari kwa kazi kubwa wanazofanya kutusaidia kulete viumbe hivi duniani vikiwa salama kwa uangalizi wao wa karibu
Kero kubwa ambayo kama taifa inabidi tuifanyie ufumbuzi ni hizi gharama za kujifungua kwa upasuaji na kawaida baadhi ya hospital ambacho kiwango ni laki moja mpaka laki mbili na nusu
Tuone namna ya kuliweka liwe bure kwani nimeona wamama wengi wakilalamika
Nikiwa kama mtumishi wa umma na bima ya afya pamoja na familia yangu ningeomba kiasi fulan cha pesa ninachokatwa kipelekwe kwenye account binafsi ili wamama hawa waweza kuhudumia bure.
Pia kwa wale wanaharakati wa wanawake pazeni sauti ili uzazi iwe bure na sio kikwazo kwa wanawake ,kwan sio wote wanaweza lipia hizo gharama kwani mimba inapatikana popote na wengine hutelekezwa na wenza wao hivyo kutomudu gharama na pengine wengine huona bora kutoa mimba .
Naiomba serikali yangu iliangalie hili.na pia naomba kuwe hata na kampeni ya kuchangia uzazi ili hawa wanawake ambao ni mama zetu, wake zetu, Dada zetu wahudumiwe bure
Okoa maisha ya mama mzazi ,ajifungua salama na awe na uzazi wenye furaha kwa kutoa maoni yako yanayojenga ....nini kifanyike?
Nikiwa kama mwanaume ambae nimeoa na kubarikiwa watoto wa 2 niseme tu naheshimu hali ya ujauzito kwa mwanamke kwan mateso ya uchungu nimeyaona
Na pia nawapongeza madaktari kwa kazi kubwa wanazofanya kutusaidia kulete viumbe hivi duniani vikiwa salama kwa uangalizi wao wa karibu
Kero kubwa ambayo kama taifa inabidi tuifanyie ufumbuzi ni hizi gharama za kujifungua kwa upasuaji na kawaida baadhi ya hospital ambacho kiwango ni laki moja mpaka laki mbili na nusu
Tuone namna ya kuliweka liwe bure kwani nimeona wamama wengi wakilalamika
Nikiwa kama mtumishi wa umma na bima ya afya pamoja na familia yangu ningeomba kiasi fulan cha pesa ninachokatwa kipelekwe kwenye account binafsi ili wamama hawa waweza kuhudumia bure.
Pia kwa wale wanaharakati wa wanawake pazeni sauti ili uzazi iwe bure na sio kikwazo kwa wanawake ,kwan sio wote wanaweza lipia hizo gharama kwani mimba inapatikana popote na wengine hutelekezwa na wenza wao hivyo kutomudu gharama na pengine wengine huona bora kutoa mimba .
Naiomba serikali yangu iliangalie hili.na pia naomba kuwe hata na kampeni ya kuchangia uzazi ili hawa wanawake ambao ni mama zetu, wake zetu, Dada zetu wahudumiwe bure
Okoa maisha ya mama mzazi ,ajifungua salama na awe na uzazi wenye furaha kwa kutoa maoni yako yanayojenga ....nini kifanyike?