rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 6,147
- 7,889
dini Ni fumbo kubwa sana bila shakaSipajui mkuu, ila dini inatufundisha ndipo tutaenda kuishi daima na milele baada ya ufufuo wa ki roho kutokana na kifo cha hapa duniani kama tutafata amri zilizoshushwa na Muumba.
