Tafadhari naomben msaada anefaham vizuri shule ya alfagems morogoro anisaidie mawasiliano ya shule au hata namba za mwalim alieko pale ili niweze kuwasiliana nae kupata tarifa na muda kwa kujiunga kidato cha tano shuleni hapo pamoja na taratibu za hapo shuleni
MSAADA TAFADHALI
Tafadhali naombeni msaada,
Anayefahamuvizuri shule ya Alfagems Morogoro anisaidie mawasiliano ya shule au hata namba za mwalimu aliyeko pale ili niweze kuwasiliana nae kupata taarifa na muda kwa kujiunga kidato cha tano shuleni hapo pamoja na taratibu za hapo shuleni.
MSAADA TAFADHALI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.