Mbowe, Lowassa watoka vichwa chini Uwanja wa Taifa baada ya Yanga kufungwa

Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Aikaeli Mbowe na mjumbe wa kamati kuu ya chadema,leo wametoka kwa aibu kubwa uwanja wa Taifa baada ya timu wanayoishabikia,YANGA kupigwa bao mbili kwa moja na SIMBA
.Mbowe ambaye ni mnazi wa kutupwa wa Yanga akiongozana na Lowassa ambaye ni swahiba mkubwa wa Manji,walitegemea ushindi leo,ili watengeneze sinema pale pale uwanjani,ambapo ilipangwa bavicha wawarushie kadi na fulana za ccm,kuonesha kuwa eti ccm inamuonea Manji.
Mkakati huu ulikufa baada ya Yanga kupigwa bao la pili ambapo picha zilimuonesha Lowassa kazubaa kama vile haamini kinachotokea.
Chadema msipende kufanya siasa za matukio

Nyau pori wewe. Makamanda ni Simba dam dam. Ulifikiri makamanda ni Mwigulu ambaye ni kocha msaidizi wa YANGA!!! Pumba ya mpunga we.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Aikaeli Mbowe na mjumbe wa kamati kuu ya chadema,leo wametoka kwa aibu kubwa uwanja wa Taifa baada ya timu wanayoishabikia,YANGA kupigwa bao mbili kwa moja na SIMBA
.Mbowe ambaye ni mnazi wa kutupwa wa Yanga akiongozana na Lowassa ambaye ni swahiba mkubwa wa Manji,walitegemea ushindi leo,ili watengeneze sinema pale pale uwanjani,ambapo ilipangwa bavicha wawarushie kadi na fulana za ccm,kuonesha kuwa eti ccm inamuonea Manji.
Mkakati huu ulikufa baada ya Yanga kupigwa bao la pili ambapo picha zilimuonesha Lowassa kazubaa kama vile haamini kinachotokea.
Chadema msipende kufanya siasa za matukio
Punguza njaa mkuu Lowassa ni mnazi wa Msimbazi.Msipotezee mada mwambieni Makonda tunataka cheti anaitwa Daudi Bashite eti leo wa kujiita Paulo
 
mleta mada wewe ni kiazi

RAIS WANGU LOWASA HAJAWAHI KUWA NDALA FC.
NA UJIO WAKE WA UWANJANI UMESABABISHA MNYAMA TUUE MTU
IMG-20170225-WA0030.jpeg
 
Mbowe ni damu damu na Manji klabu ya Yanga; vile vile wote ni watuhumiwa wa masuala ya ngada, patamu hapo.
 
Punguza njaa mkuu Lowassa ni mnazi wa Msimbazi.Msipotezee mada mwambieni Makonda tunataka cheti anaitwa Daudi Bashite eti leo wa kujiita Paulo
Wewe unaemshutumu Makonda ndio unatakiwa ututhibitishie kuwa anaitwa Daudi.Unamtuhumu mtu halafu unataka yeye alete ushahidi umeona wapi hiyo
 
Back
Top Bottom