Recent content by Satu

  1. S

    Gamondi hamna kocha, Yanga ligi hachukui, atapoteza mechi zote kubwa, today I have seen the light

    "amna, achukui, aaminiki..." Haya maneno hayapo kwenye Kiswahili.
  2. S

    Mke wangu ataja jina la mwanaume mwingine wakati wa tendo la ndoa

    Chukulia ni maluelue tu. Ukitafuta miguu ya nyoka utaiona
  3. S

    Chuki dhidi ya January Makamba inatoka wapi?

    Bahati mbaya huna uwezo wa kuelewa kwamba unatumika kumchukia mtu bila sababu ya msingi. Unafuata mkumbo tu
  4. S

    Chuki dhidi ya January Makamba inatoka wapi?

    January ni miongoni mwa viongozi bora sana tulionao kama nchi. Makelele unayosikia dhidi yake, ambayo haya ushahidi, ni kutoka kwa wasaka urais (wa baadae) ambao wanamuona tishio. Pia, mimi naamini makelele hayo (hasa mitandaoni) ni moja ya mikakati wa baadhi ya vyama vya upinzani kushambulia...
  5. S

    DOKEZO Responded DAWASA Kibaha Wamesitisha Huduma ya Kuunganisha Maji kwa Wateja wapya

    Habari za leo ndugu zangu? Kwa miezi kadhaa sasa, wananchi wengi wa Kibaha wanaoomba kuunganishiwa maji kwa mara ya kwanza (wateja wapya) hawajaweza kupata huduma hiyo. DAWASA Kibaha wanapokea maombi mapya, lakini hawatoi bili za malipo (control namba), wanadai wameishiwa vifaa. Wadau...
  6. S

    Waziri Makamba hizi Hesabu zipo Dunia ipi?

    Makamba ni miongoni wanasiasa vijana ambao wako smart na makini sana. Na anaonekana kuwa "threat" kwa vijana wengine, ndani na nje ya chama chake, wenye mipango mikubwa ya kisiasa. Kwa hiyo atashambuliwa na kukoselewa sana, mara nyingi bila hata sababu ya msingi. Mtoa mada aidha hamwelewi...
  7. S

    Rwanda wametupita mbali sana kidomokrasia na kiuchumi

    Mtoa mada haijui Rwanda na, kibaya zaidi, hajitambui. Aibu sana hii
  8. S

    Matokeo ya usajili mpya kwenye kutupia

    Hahaaaa!
  9. S

    Muungano wa Tanganyika na Zanzibar upoje? Mimi huwa sielewi chochote

    Kama ulivyoshauriwa hapo juu, soma historia ya Tanganyika na Zanzibar utaelewa. Pia, usikariri kwamba Muungano wetu lazima ufanane na muungano wa nchi zingine huko. Mwisho, jitahidi kujifunza Kiswahili. Hilo neno "huliza" sio Kiswahili
  10. S

    Mlete mzungu: Uzi wa picha za mzungu wa Simba kwenye pozi tofauti

    Mimi mshabiki wanyanga lakini Kinachoendelea dhidi ya mchezaji huyu sio sawa na kinatudhalilisha sote
  11. S

    Mambo ya kuleta majeneza uwanjani wapi na wapi na soka jamani mbona tunatia aibu hivi mimi naona aibu hapa

    Na msemaji kuingia kabebwa kwenye kiti, ni kama zama za mkoloni. Nasema uongo ndugu zangu?
  12. S

    Kenya2022 Kwa ninayoona tume ya Uchaguzi ya Kenya, basi sishauri sisi Wapinzani tushiriki Uchaguzi tena

    Kenya wana matatizo lukuki kisiasa, kiuchumi, n.k. sema tu si wabwabwaji kama mtoa mada
  13. S

    Nimebaini mke wangu amezaa nje ya ndoa na amekiri, naombeni ushauri

    1). Umefanya vizuri kujitenga naye kipindi hiki ukiwa bado una hasira 2). Inawezekana kabisa 'aliteleza' mara moja na kupata ujauzito siku hiyo hiyo 3). Kama wewe hujawahi 'kuteleza' hata mara moja wakati wa ndoa nginevoyenu, basi ni haki roho ikuume sana kwa kitendo alichokufanyia mwenzio. Ila...
Back
Top Bottom